Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

Kwaheri lowassa jaribu tena 2020

Du jamaa tishio! Wakimkata watampa cha kuongea bora wamuache alafu wacheze karata abwagwe kwa kura kwenye nec ili kumkata kidomodomo kabisa. Ni mtazamo tu msiniuwe bure bandugu.

Membe kaona kumchafua Lowasa mtandaoni hakutoshi kaamua kuleta waganga wa Kienyeji 100 toka Nchi mbali mbali , wametoka Gambia, mali, misitu ya Amazoni , Congo msumbiji na wazawa wa lindi na kusini kote kawaokota waganga ili wawaroge cc pia wamchape Lowasa ikibidi Azimie kabsa , membe Kwa kweli Goli la mkono analitaka Kwa Adi na uvumba.
 
Michezo yote ya kumchafua Lowasa na kumhujumu inachezwa na Membe inashangaza sana Membe kumwandama Lowasa pekee wakati kuna wengine kibao wapo lakini membe kajidai hawaoni yeye kakomaa na Lowasa tu. hayo mapesa ya Marehemu Gadafi yamemzuzua sana anazani yatamsaidia kununua Goli la mkononi , Nape na Makonda wamemgeuza Mladi na Buzi la kuchuna sasa wanajilia pesa za membe kiulaini huku membe akiamini atapewa Goli la mkono.
 
Naomba kujua, mnamuongelea lowasa aliye jiuzuru uwaziri mkuu au lowasa aliye tangaza nia?
 
Kwanin Lowassa jaman kwan si kuna hata wengine

Wengine membe hawaoni yeye kaamua kumwandama Lowasa tu ndiyo maana Makonda na Nape wametumia Fursa hiyo kumlia pesa kiulaini .
 
Naomba kujua, mnamuongelea lowasa aliye jiuzuru uwaziri mkuu au lowasa aliye tangaza nia?

Lowasa aliyetangaza Nia kwani kujiuzuru ni tatizo? Hata mwinyi si aliwahi kujiuzuru na baadae akawa Rais .
 
Tena fisadi mkuu.

Nani Fisadi ? Nitajia Msafi ccm miongoni mwa hao wanaowania Urais , Tambua kuwa Ufisadi Kwa ccm ni kawaida sana Hakuna asiye na doa humu ccm wote wana madhambi makubwa tena Baba yako membe ndiye kinara Kwa wote .
 
Lowasa kama ataondolewa atakuwa ameponzwa na kuamini katika matumizi ya hela, asingekuwa na vibweka kama vile tayari kampeni imeanza inawezekana angepita
 
Timu za membe wapo busy 24 hrs kumchanganya Lowasa mkuu wa wilaya ya Kinondoni makonda a.k.a Lizaboni keshapewa kiinua mgongo chake na Membe kaapa kumchafua Lowasa Kwa njia za kila aina sasa wanapanga kuzusha mengi sana humu mtandaoni, makonda Kwa sasa hafanyi kazi zingine zaidi ya kubuni Fitna na Uzushi juu ya Lowasa.
mkuu wa wilaya anauwezo wa kumlabua makofi mzee Warioba hadharani sembuse kutengeneza fitna za kupambanisha team zao za mafisadi?
 
mkuu wa wilaya anauwezo wa kumlabua makofi mzee Warioba hadharani sembuse kutengeneza fitna za kupambanisha team zao za mafisadi?

Daud Tambua kuwa wale wote waliotangaza Nia ni Mafisadi Hakuna Msafi pale sasa ni juu yako kujua mwenye nafuu .
 
Vigezo vya 5 bora CCM, na watakaokidhi kwenye mabano
1.KUKUBALIKA- Edo/ Membe
2.Uwiano Bara/ Visiwani- Bilal
3. JINSIA- Migiro
4. UCHAPAKAZI- Magufuli/ Edo
5. Mawaziri- Nchemba/ Wassira/ Magufuli/ Pinda
Kwa vigezo hivyowatu watatu watakuwa tano bora; Edo, Migiro na Bilal nafasi ya nne na tano watashindania hao waliobaki na miongoni mwao Membe atakuwemo.

Tatu bora ni kura sasa.
 
Lowasa kama ataondolewa atakuwa ameponzwa na kuamini katika matumizi ya hela, asingekuwa na vibweka kama vile tayari kampeni imeanza inawezekana angepita

Lowasa anaathiliwa na Fitna za membe na watu wake akina Nape Makonda , kigwangala nk wapo busy Kwa gharama zizote kuhakikisha kuwa jina la Lowasa halipenyi ndiyo maana membe kaamua kuleta Lundo la waganga wa kienyeji baada ya kuona kuwa Fitna na kuchafuana Mitandaoni bado hakutoshi .
 
Polisi Safari hii watawapiga ccm Kwa ccm badala ya upinzani Kama walivyozoea

Dhambi ya ubaguzi imewageukia, jeshi wanalolitumia kuwanyanyasa UKAWA ndio jeshi hilo wanalolitumia team moja ya mafisadi kuwapiga team nyingine ya mafisadi huko ndani ya ccm.
 
Vigezo vya 5 bora CCM, na watakaokidhi kwenye mabano
1.KUKUBALIKA- Edo/ Membe
2.Uwiano Bara/ Visiwani- Bilal
3. JINSIA- Migiro
4. UCHAPAKAZI- Magufuli/ Edo
5. Mawaziri- Nchemba/ Wassira/ Magufuli/ Pinda
Kwa vigezo hivyowatu watatu watakuwa tano bora; Edo, Migiro na Bilal nafasi ya nne na tano watashindania hao waliobaki na miongoni mwao Membe atakuwemo.

Tatu bora ni kura sasa.
Goli la mkono hapo ndipo membe anaumiza kichwa ! Yupo busy kuwaroga cc Safari hii cc wamejipalia mkaa membe kawakalia vibaya yupo na waganga wa kienyeji 100 anawafanyia kazi cc na NEC huku pia akimchakaza Lowasa Kwa njia zote kumchafua mitandaoni kupitia Timu yake inayoongozwa na Makonda na ndani ya cc yupo Nape, Mzee mangula nk, Membe Goli la mkononi analisubiri Kwa hamu kubwa anawaamini sana waganga wake .
 
Dhambi ya ubaguzi imewageukia, jeshi wanalolitumia kuwanyanyasa UKAWA ndio jeshi hilo wanalolitumia team moja ya mafisadi kuwapiga team nyingine ya mafisadi huko ndani ya ccm.

Safari hii Membe huenda akazimia kwani ametumia pesa nyingi sana kusaka Goli la mkono , endapo atalikosa hilo Goli sijui itakuaje ?mabilion ya marehemu Gadafi sasa yanatumika kununua njia ya kuelekea ikulu huku familia ya marehemu balozi wa Libya ikitaabika kwa njaa , wewe membe siku za mwisho utachomwa sana moto.
 
Back
Top Bottom