Ndugu zangu uwe manasiasa au usiwe, uwe mwanachama wa chama Fulani au usiwe, uwe ni dini flani au usiwe, hakuna atakeye pona siku kikinuka kikubwa tuweke hitikadi na Mapenzi ya vyama pembeni tujue wapi tunapokosea na tufanyeje kupata suluhu, maana siasa itakufuata hadi hapo kitandani.
Mi katoliki nlikua nawaamini viongz wake sana kipnd cha nyuma kukemea maovu ila siku hizi hawasikiki, waache uoga na unafiki kutokemea maovu hadi wasikie makanisa mengne wamesemaje ndo na wao waongee
Wakuu mi ninatatizo ambalo lilinianza kama wiki mbili hivi, mwenyekujua dawa anisaidie jamani, Salome naomba msaada, mi mdomo wangu umekua ukiwaka moto sana usiku, na mchana unakaukaa nikicheka unapasuka unatoa damu, nimepima damu hawajaona tatizo, wakanipa vdonge vya vitamin c, na oracure gel...
Za leo wana JF,
Natafuta mke wa kuoa ambae ni daktari, awe mkristo, umri kwangu sio kigezo, na awe mcha Mungu, umri wangu ni miaka 32 na elimu yangu ni degree holder, nipo serious mwenye nia ani PM.
1.nakunywaga maji mara kwa mara sana, hasa nikiwa dar, naweza kunywa robotatu lina kwa wakati mmoja, na ni zaidi ya mara tano kwa siku
2.sipatagi maumivu wakati wa kukojoa, ila uume huwa na maumivu kwa mbaliiii nikishakojoa bao la kwanza
3.baada yabao la kwanza naweza kukaa dk 15 uume unasimama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.