With the type of the President we have now! You my friend Malawians , I feel mercy on you. Before you even start mobilisation, Our battalions will have completely smashed out the whole of Lilongwe and Blantyre live alone Zomba
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni mwalimu wa Shule ya msingi nafundisha Wilaya ya Temeke Dsm, nataka mwalimu wa kubadilishana kutoka Ubungo. Yeye aende Temeke mimi nije Ubungo. Nina Tsd
Hivi Zilla ze G naye ni shoga? Mbona post zako zote zinatetea mashoga? Pamoja na kwamba Makonda simkubali kutokana na kukurupuka kwenye maamuzi mengi lakini kwenye hili la ushoga namuunga mkono
Kwahiyo migomo ya madaktari ilikuwepo wakati wa Nyerere, migomo ya wanafunzi wa vyuo ilikuwepo hadi Marehemu S.S akachapwa viboko, Wakati wa Mkapa Kigwangala alioongoza alioongoza mgomo! Ndo maana naipenda jamii forum, mleta mada kajipange upya
Kama vipi waone pccb, waeleze mkasa wote kama ulivyo cozi kisheria hiyo ni rushwa ya ngono na ikithibitika kazi yako itanusurika though itakujengea mazingira magumu ya kikazi lakini utaponya vizazi vijavyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.