Recent content by matingo02

  1. M

    MALAWI: Going to war with Tanzania would be foolish

    With the type of the President we have now! You my friend Malawians , I feel mercy on you. Before you even start mobilisation, Our battalions will have completely smashed out the whole of Lilongwe and Blantyre live alone Zomba Sent using Jamii Forums mobile app
  2. M

    Majaji wa kuwatumbua ni hawa hapa

    Jaji hachunguzwi kwa utaratibu huo soma Katiba vizuri
  3. M

    Tundu Lissu hajamshangaa waziri Mwakyembe juu ya yeye kugombea urais TLS asema neno

    Tundu Lissu ana masters degree ya chuo cha Warwick Uingereza
  4. M

    Humphrey Polepole kuwa mkweli

    Nilivyoelewa mimi he was kidding/mocking kuhusu viwanda sio kama wewe ulivyomchukulia serious
  5. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mimi ni mwalimu wa Shule ya msingi nafundisha Wilaya ya Temeke Dsm, nataka mwalimu wa kubadilishana kutoka Ubungo. Yeye aende Temeke mimi nije Ubungo. Nina Tsd
  6. M

    Makonda aahidi kuwasaka mashoga mahotelini

    Hivi Zilla ze G naye ni shoga? Mbona post zako zote zinatetea mashoga? Pamoja na kwamba Makonda simkubali kutokana na kukurupuka kwenye maamuzi mengi lakini kwenye hili la ushoga namuunga mkono
  7. M

    Walimu na Madaktari waliokuwa wanagoma wapo wapi?

    Kwahiyo migomo ya madaktari ilikuwepo wakati wa Nyerere, migomo ya wanafunzi wa vyuo ilikuwepo hadi Marehemu S.S akachapwa viboko, Wakati wa Mkapa Kigwangala alioongoza alioongoza mgomo! Ndo maana naipenda jamii forum, mleta mada kajipange upya
  8. M

    Rais Magufuli anafuata nyayo za Baba wa Taifa Mwl Nyerere

    Kuna Sheria ya cyber crime Act na nyingine imesainiwa juzi ya The Media Services Act, usije ukatikuta matatizoni buree!
  9. M

    Boss ananitaka kingono, Nipo njia panda naomba ushauri

    Kama vipi waone pccb, waeleze mkasa wote kama ulivyo cozi kisheria hiyo ni rushwa ya ngono na ikithibitika kazi yako itanusurika though itakujengea mazingira magumu ya kikazi lakini utaponya vizazi vijavyo
  10. M

    Nape Nnauye, skendo ya kutafunwa dola mil 20 za kiwanda cha cement Lindi anaifahamu?

    Jamani hizo hela zililiwa wakati Nape sio Mbunge kwahiyo hiyo tuhuma haimuhusu
  11. M

    Hivi ni halali na sahihi Rais kuziita nchi jirani vi nchi vingine vingine?

    Ni msukuma kwa hiyo kwa msukuma kudogosha vitu ni jambo la kawaida, kumbukeni vijisenti
Back
Top Bottom