Recent content by mathew.paul58

  1. mathew.paul58

    Ikifika mwaka 2017 na bado hujaoa haya yatakukuta.

    Nadhani ndugu unajaribu kuchangamsha jukwaa lakini kama unamaanisha basi you are wrong,umeshindwa kutofautisha kati ya ndoa na harusi Ndoa inahitaji michakato ya kawaida sana, mume/ mke mtarajiwa, mashahidi/ wasimamizi, mchungaji/ shekhe Harusi ni michakato ya ziada sana kiasi kwamba hata visipo...
  2. mathew.paul58

    Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki

    Lakini wakati wa mabadiliko ukifika hakuna wa kuzuia
  3. mathew.paul58

    Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki

    Hakika madiliko ni makubwa sana, Zamani hizo comments kama ya mzee butiku tayari tunakkuita jina jingine au unatafutiwa mji kama mzee jumbe
  4. mathew.paul58

    Butiku: Ningejua CCM itaingilia mchakato wa Katiba nisingeshiriki

    Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Joseph Butiku amesema asingekubali kushiriki katika Tume hiyo laiti kama angejua CCM ingeingilia mchakato huo. Butiku ambaye alitoa kauli hizo kwa nyakati tofauti, wikiendi iliyopita kwenye Mabaraza ya Katiba ya...
  5. mathew.paul58

    huu ni ugonjwa ama nini?

    Kaka huo si ugonjwa, Bali fahamu zako na akili zako zimeji-tune hivyo na umezielekeza huko, japo kushawishika au kuvutiwa na mtu si lazima awe single hata kwa wake za watu wanamvuto, japo ni hatari sana kwa maisha yako ukizingatia hali ilivyobadilika sasa magonjwa n.k USHAURI Ushauri wangu hilo...
  6. mathew.paul58

    Serious kwa akina dada tu: Natafuta mchumba ambaye tutafunga ndoa

    Hello sisters wana Forum Naitwa Paul 32yrs, naishi hapa dsm-Kimara, natafuta mchumba ambaye tuitengeneza kesho yetu. Kwa dada aliye tayari tafadhali tuwasiliane. Anitumie Private Message (PM) kwa mawasiliano zaidi >Umri: miaka 20-29 ikizidi sana 30 >Haiba: Urefu wa wastani lakini asiwe mfupi...
  7. mathew.paul58

    STAILI YANGU YA KULA|::|inanipunguzia MARKS kwa DEMU wangu

    Ndugu yangu hili suala halihitaji uwe na digrii au kiwango kikubwa Ni suala la kawaida na utaratibu tu, dawa ni kujirekebisha, sio tabia njema kula na kutafuna kama nguruwe, si mpendwa wako tu hata watu wote tunaojua ustaarabu wa kula hatulikubali, hivyo mridhishe mpendwa wako kwa kufanya kile...
  8. mathew.paul58

    Jamani msaidieni huyu mdada ana jini dume linalomuingilia usiku akilala usingizini

    Dawa ni maombi tu. Nenda kaombewe Maana ni kweli hutaolewa kwa namna ulivyoeleza Tatizo lako ni la kiroho zaidi
  9. mathew.paul58

    Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

    Kama jamaa hakusomi please let it go wasije kuku geuka ukabaki na aibu japo dhamira yako ni njema,
  10. mathew.paul58

    Mke anagawa ovyo...jamaa kaamua

    Sasa ndugu yangu kama mhusika anajua kinachoendelea lakini yupo kimya iweje wewe uumie? Let it go, umefanya kazi kama rafiki wa familia ya rafiki yako, umemueleza ukweli wa mambo sasa ni jukumu lake kusuka au kunyoa, vinginevyo kinachofuata kama hautakuwa makini ni kugeukwa na shemejio na kama...
  11. mathew.paul58

    Lady Jay Dee na ujumbe wake ndani ya “yahaya vs wanaume kama mabinti”

    Mashairi ya muziki ni kama kioo, kila mtu anaona sura yake
  12. mathew.paul58

    Mwana ume 42 NA Mwanamke 49 wanataka kuoana

    Ok, Kimsingi inaweza iswe na tatizo sasa au katika maisha, lakini kisaikolojia kuna tatizo hasa kwa mwanaume kama ifuatvyo 1. Hatakuwa huru mbele ya public appearrance 2. Infiriority itamuandama si kwa wakati huu itachukua muda baada ya kuishi kwa kipindi fulani
  13. mathew.paul58

    Mwana ume 42 NA Mwanamke 49 wanataka kuoana

    Huja sema nani 42 na nani49 Je mwanaume ndiye 42 na mwanamke 49?????? Hebu weka sawa tushauri tuonavyo ndugu:A S confused:
  14. mathew.paul58

    Yes,i'm goin to marry you,but before that i just wanna make sure of something...

    Hakika ni hoja fulani ya msingi sana, maana wengi leo wanalia kwasababu hii. Nimeipenda sana mifano hii hai,
  15. mathew.paul58

    Dating mpopo!

    Please listen to your heart. Maana ushauri wetu una mipaka, lakini wewe mhusika ndiye mliyeonana physically atleast you have somthing to explain, lakin kwa upande wangu nakushauri sikiliza moyo wako,
Back
Top Bottom