Chujio
JF-Expert Member
- Jun 17, 2013
- 1,453
- 2,393
mpopo ni mnigeria
kumbeee.... mmmmmmmh!!
mpopo ni mnigeria
Unamaanisha nini makaratasi!!!
Duh! Lazima utakua 4x4byfar as in Umefungashia. Ndio zao wapopo wanapenda sana mahaga! Hiyo gia aliyo kuingilia ya kutaka usisite unapohitaji msahada ndio gia yao namba moja wapopo. Mpopo anaweza kutumia kiasi chochote cha feza kukuingiza line na akisha kushika, kwisha khabari yako! Besides hiyo 4x4 yako wapopo wanaua ndege wawili kwa jiwe moja!! Somewhere somehow atakutumia, kama sio makaratasi basi punda wake na sembe atakudatisha wakwanza wewe. Nimetoa my personal view although it is a general one, people are not the same! Changanya na zako
Thanks so much for your ushauri. Mpaka sasa nimeshajionea yakunitosha tuu akili kichwani mwangu...raha yao they know much na hapo ndo nitakapo faidia na mimi mpaka aje kuelewa na mfaidi...imekula kwake. Many many thanks again and again.Darling...
Wapopo wapo smart sana!!sana! Mno!
Hawi na wewe kama hana anachohitaji kwako at any cost!
Haogopi kuhonga hata millions awe nawe!
Wapo so complicated, harsh, selfish n tighting people while ye kwao anamke ama somewhre kimada!
Yashazoea kupelekeshana na wake zao sa wakipata wadada wa East ambao ni humble n kind akipenda kapenda,na kasumba ya wadada hata umdate mtu wa mpakani mwa TZ utaonekana upo juu,sasa ndo wanatake advantage.
So nakushauri,we kula fanya plans zako,endelea na yako.
🙂
****Ila kumbuka mume mwema anatoka kwa Mungu,na mwombe atakupa wa ubavu wako.
***So bcos you started with the ''nationality'' thing,cudnt resist telling you how i know from myexperience,though it says all men are from the same mom&dad in their characters,its just a matter of time.
Jamani ndgu zangu habarini,
Nimetokea kupendwa na mpopo mmoja kijana wa makamo hivi. He is younger than me like 6yrs hv! I wish to fall kwake pia ila naogopa. I wish to know his whereabouts ila anaonekana kuwa msiria sana. Yeye anadai anataka mke wa kuishi nae. Tuko kwenye date for more than a month now ila hatuja Do mpaka sasa. Ss anaonekana kuchoka na mimi kwa ajili sitaki ku DO nae mpaka nimjue vizuri. Hivi ni kama ni mume wa kweli siatanisikiza. Je ni lazima ku DO ndo ishara ya kumuonyesha kuwa unampenda? Wanaume nisaidieni na mawazo yenu ya kiume. :help:
hmmmmmmm hmm!!:help:I hate that.. Hivi ni lazima ku do before marriage?? Me i cant..
Thanks so much for your ushauri. Mpaka sasa nimeshajionea yakunitosha tuu akili kichwani mwangu...raha yao they know much na hapo ndo nitakapo faidia na mimi mpaka aje kuelewa na mfaidi...imekula kwake. Many many thanks again and again.
I hate that.. Hivi ni lazima ku do before marriage?? Me i cant..