mke atakoma kwa mawifi,watamnanga
Huja sema nani 42 na nani49
Je mwanaume ndiye 42 na mwanamke 49??????
Hebu weka sawa tushauri tuonavyo ndugu:A S confused:
Kumbe title inasemaje? Soma heading ya thread kwanza kabla ya kuchangia
Nimewaelewa Wadau, basi NA waendelee kula bata KWA rahaaaaaaaaaaaaaaa zao!!!!
Nina 49 NA Mke wangu Ana miaka 44