Kumwacha mtu niliyempenda zaidi aende kirahisi, sijapata mwingine kama yule tena , ushauri wangu ni huu kama unampenda mtu na unaona kabisa unavutiwa nae na yeye anakupenda shetani akiingia Kati mwondoe shetani na hakikisha unabaki na umpendae.
Tupo pamoja katika hili maana mi naona ngozi nyeusi asili yetu tunapenda starehe Sana mfano kuna tafiti ilifanyika japani kuangazia ni kwa nini kuna kundi kubwa la vijana hawaoi? yani wapo single , wakagundua kwamba watu hawana mda wa kupumzika wapo bize na kazi, hawapati ule mda wa kutafuta...
Kama kichwa kinavyojielekeza ninakusudia kueleza ni kwa namna gani umaskini ambao umekua ndio nyenzo muhimu katika kukamata nyazfa muhimu Serikalini na jinsi unasababisha umaskini kuongezeka badala ya kutumika kuupunguza.
Tutakubaliana sote Kwamba viongozi wengi wamekua wakijipambanua kuwa...
Binafsi nilimpenda hata kabla ya kuapa sijui kwa nini lakini nilikua nawaambia wenzangu moyo wangu ulikua mweupe kwake
Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.