Recent content by Mathew A

  1. M

    Muundo wa Binadamu na sifa zake ili kufikia hatma yako

    Nimekuelewa mkuu lakin nafsi kama kiunganishi Kati mwili na roho kwa nn nafs l Haina nguvu? kuzidi roho
  2. M

    Ulikosea nini maishani hautaki mwingine arudie kosa kama hilo

    Kumwacha mtu niliyempenda zaidi aende kirahisi, sijapata mwingine kama yule tena , ushauri wangu ni huu kama unampenda mtu na unaona kabisa unavutiwa nae na yeye anakupenda shetani akiingia Kati mwondoe shetani na hakikisha unabaki na umpendae.
  3. M

    America ,Europe na Asia wapewe mauwa yao

    Tupo pamoja katika hili maana mi naona ngozi nyeusi asili yetu tunapenda starehe Sana mfano kuna tafiti ilifanyika japani kuangazia ni kwa nini kuna kundi kubwa la vijana hawaoi? yani wapo single , wakagundua kwamba watu hawana mda wa kupumzika wapo bize na kazi, hawapati ule mda wa kutafuta...
  4. M

    Mbwiga Wa Mbwiguke wa Clouds FM amehamia Times FM

    Mi nazani amepewa dili nono ndio maana
  5. M

    Ninaekereka au Kuchoshwa na hili linaloendelea sasa katika Redio nyingi za Tanzania nipo peke yangu au?

    Mi nafikiri ni kuwaonea tu maana hizo vipindi ndio vinapendwa na hii ni ishara kwamba tatizo ni jamii ya kitanzania sio redio
  6. M

    USHUHUDA: Nilivyokutana na ushirikina kazini

    Kweli mi mwenyewe siamin
  7. M

    Uarabu na Uislamu ni vitu viwili tofauti

    Ivi ni kweli mkuu? Mi siamini kabisa
  8. M

    Hakuna kitu kibaya kama kujihisi umeathirika HIV

    Mkuu umesema kweli kabisa but you can't change anything
  9. M

    Umasikini na siasa

    Kama kichwa kinavyojielekeza ninakusudia kueleza ni kwa namna gani umaskini ambao umekua ndio nyenzo muhimu katika kukamata nyazfa muhimu Serikalini na jinsi unasababisha umaskini kuongezeka badala ya kutumika kuupunguza. Tutakubaliana sote Kwamba viongozi wengi wamekua wakijipambanua kuwa...
  10. M

    Tafsiri potofu ya agizo la Rais Samia kuhusu kodi itaigharimu Serikali

    Nafikiri hapa waliopo kwenye hizi sekta za ukusanyaji hawajafurahishwa na hili agizo sababu ni moja tu ilikua inatoa mwanya wa rushwa.
  11. M

    Mama kabadili upepo. CCM wamegeuka wapinzani wa mama, na wapinzani wamegeuka kuwa wafuasi wa mama

    Binafsi nilimpenda hata kabla ya kuapa sijui kwa nini lakini nilikua nawaambia wenzangu moyo wangu ulikua mweupe kwake Nawasalimu kwa jina la jamuhuri ya muungano.
  12. M

    Ingekuwa ni hotuba ya mwendazake ungesikia...

    Kweli mwendazake atakumbukwa sana kwa staili yake ya uongozi.
Back
Top Bottom