Kama kichwa kinavyojielekeza ninakusudia kueleza ni kwa namna gani umaskini ambao umekua ndio nyenzo muhimu katika kukamata nyazfa muhimu Serikalini na jinsi unasababisha umaskini kuongezeka badala ya kutumika kuupunguza.
Tutakubaliana sote Kwamba viongozi wengi wamekua wakijipambanua kuwa wanaujua umaskini na kwamba waliuishi hii ni kutuamisha kwamba wanauchungu na umaskini wa watu na kwamba watahakikisha wanaupunguza na hatimae kuisha kabisa.
Jana tu wakati mheshiwa Rais akihutubia alieleza namna ambavyo miradi mingi inakwamishwa na urasimu na watu waliopewa nyazfa za juu serikalini na Miradi hiyo ingekuja kuondoa tatizo la ajira na kupunguza umaskini wa watanzania.
Umaskini mbaya sana ndio maana naupinga kuwa kama nyenzo ya kumpata kiongozi wa Serikalini, hapana kwa upande wangu maana wengi wao hutumia kujipatia utajiri bila hata ya kujali angetatua umaskini wa watu wangapi
Mwisho lakini sio kwa umuhimu ni vyema sasa tukatumia sifa za kiutendaji kuanzia chini mtu alipoajiriwa ili kupima uwezo wake na uzalendo wake ambao utatuamisha kwamba hata akipewa nyazfa nyeti hatajinufaisha mwenyewe na kuachana na stori za naujua umaskini maana kuna tofauti ya kuujua na kuutatua.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Niwatakie jtano njema
Tutakubaliana sote Kwamba viongozi wengi wamekua wakijipambanua kuwa wanaujua umaskini na kwamba waliuishi hii ni kutuamisha kwamba wanauchungu na umaskini wa watu na kwamba watahakikisha wanaupunguza na hatimae kuisha kabisa.
Jana tu wakati mheshiwa Rais akihutubia alieleza namna ambavyo miradi mingi inakwamishwa na urasimu na watu waliopewa nyazfa za juu serikalini na Miradi hiyo ingekuja kuondoa tatizo la ajira na kupunguza umaskini wa watanzania.
Umaskini mbaya sana ndio maana naupinga kuwa kama nyenzo ya kumpata kiongozi wa Serikalini, hapana kwa upande wangu maana wengi wao hutumia kujipatia utajiri bila hata ya kujali angetatua umaskini wa watu wangapi
Mwisho lakini sio kwa umuhimu ni vyema sasa tukatumia sifa za kiutendaji kuanzia chini mtu alipoajiriwa ili kupima uwezo wake na uzalendo wake ambao utatuamisha kwamba hata akipewa nyazfa nyeti hatajinufaisha mwenyewe na kuachana na stori za naujua umaskini maana kuna tofauti ya kuujua na kuutatua.
Au nasema uongo ndugu zangu?
Niwatakie jtano njema