Rooney
JF-Expert Member
- Jan 16, 2015
- 3,782
- 3,909
Sikiliza radio garden through browser au app yaoDah nina muda mlefu sana sijasikiliza radio, mimi na mb zangu tu,
Sikiliza radio garden through browser au app yaoDah nina muda mlefu sana sijasikiliza radio, mimi na mb zangu tu,
Kaondoka nazo 'aliyelala' Kimoja Chato.Vipi zile propaganda zao za kusifia maujenzi ya miundombinu,zilishakwisha?
Wasafi fm, kina Mama Levo yaan huongea utumbo mtupu nje ya maada husika,Hawa unawaonea Mkuu ' Uozo ' mkubwa uko Clouds FM, EFM, Magic FM na Wasafi FM.
Kidogo Radio One na RFA kuna Nidhamu na Kujielewa fulani ila siyo kwa hawa niliowataja.
Nitajaribu mkuuSikiliza radio garden through browser au app yao
Kuna Tatizo Kubwa katika Media nchini.Hata magazeti pia hakuna habari za kiuchunguzi ni kuripoti tu matukio.
Habari itasema Waziri Mkuu kafungua mkutano, tena hiyo ni headline.
Hahahahaha hii ilikua hatari lakini ndo uhuru wa vyombo vya habari huo.Wengine wanasema huwa hawavai chupi, mara wengine wasema wananunua dazeni mbili kwa mwaka
Inafika mahali kusikiliza radio na wazizi inakuwa ngumuHahahahaha hii ilikua hatari lakini ndo uhuru wa vyombo vya habari huo.
Bila kuisahau Efm mkuu hizi redio unakuta kila kipindi wameweka na mchekeshaji mmoja au wawili kazi yake hapo ni kutema pumba tu.Hawa unawaonea Mkuu ' Uozo ' mkubwa uko Clouds FM, EFM, Magic FM na Wasafi FM.
Kidogo Radio One na RFA kuna Nidhamu na Kujielewa fulani ila siyo kwa hawa niliowataja.
Hapo miaka michache iliyopita yalikuwepo magazeti yenye habari za kiuchunguzi,nadhani yalitengenezewa mazingira ya kupotea na ' secret hash '.Hata magazeti pia hakuna habari za kiuchunguzi ni kuripoti tu matukio.
Habari itasema Waziri Mkuu kafungua mkutano, tena hiyo ni headline.
Sasa waliekuwa wanamsifia sahv hayupoVipi zile propaganda zao za kusifia maujenzi ya miundombinu,zilishakwisha?