Recent content by Mathematical

  1. M

    To you my love

    Hii hoja imekaa kiuhamasishaji sana ila siiungi mkono sanaaa.
  2. M

    Waliosoma Jitegemee Secondary School hebu ingieni hapa Tusalimiane

    Hatari sana uwanja wa damu...mi huwa simsahau dmx alikua mfupi mjeshi
  3. M

    Kazi ya ujenzi wa ukuta Mererani Ikiendelea Kwa Kasi

    Sio kila kona panachimbwa tu..watu wanatembea underground na huwez ibuka juu bila njia uloingilia
  4. M

    Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni biashara ya hospitali binafsi?

    Nakumbuka mke wangu alivokua mjamzito dr alinipanga kuwa nikiulizwa na dr yeyote why alimpasua niseme mtoto alikaa vibaya..nilimquestion akawa anajing'ata tu. Now mimba ya pili nshafuatilia na kuambiwa atajifungua normal sasa ole wao.
  5. M

    Nani anagharamia matumizi ya Lema, Msigwa na Mbowe huko Nairobi?

    Asa we inakuhusu nini...hela zao afu unawapangia matumizi si itafute zako blaza...huo ndo wivu wa kijinga kama kuona kuku wanapandana unachukua jiwe unawapiga.
  6. M

    Kuwa na mwanamke mzuri kisura ni raha sana, wanawake weupe wanakosha sana mioyo ya wanaume

    Mkibaguliwa mnalalamika waafrica banah kumbe wenyewe hamzipend ngozi zenu nyeusi sa wazingu watazipendaje...nyani ni nyani tu hawez kuwa tumbili
  7. M

    Nipo kwenye harakati za kutembea na adui wa mke wangu

    Piga blaza si siri yenu kwani unaichomoa uiweke usoni we piga
  8. M

    DHL is shutting down Tanzania operations

    Upo sawa kaka.... Watu hawajui ila dhl ina divisions zake 3 hapa nchini kuna dhl express wale wa vifurushi,dhl supply chain wanaofanya warehousing na distribution na dhl global fowarding hawa ndio logistics wanaofanya kazi za clearing and forwarding. Sasa division iliyofungwa ni dhl global...
  9. M

    DHL is shutting down Tanzania operations

    Upo sawa kaka.... Watu hawajui ila dhl ina divisions zake 3 hapa nchini kuna dhl express wale wa vifurushi,dhl supply chain wanaofanya warehousing na distribution na dhl global fowarding hawa ndio logistics wanaofanya kazi za clearing and forwarding. Sasa division iliyofungwa ni dhl global...
  10. M

    Maumivu ya moyo....!!!

    Brother hizo issue za kawaida sana shukuru Mungu kuwa umeona kabla hujamuoa maana Mungu amekuonyesha mapema kuwa huyu sio wako...no need ya kujistress sababu kuna watu kwenye maisha yetu wanakuja kwa ajili ya kutufunza jambo ili lifuatalo tujirekebishe..funzo lako hapa ni usimuamini rafiki au...
  11. M

    Wanawake walioolewa

    Halafu kuna dem wangu wa zamani kaolewa ye ananiba nimgegede kwa sababu jamaa yake hampigi mashine mwezi wa 4 sasa,naogopa coz mke wa mtu noma bora vimeo vingine. Naanza kuelewa circle na wangu anapeleka nje basi ehh
  12. M

    Wanawake walioolewa

    Anasema amechoka sana kila siku...ananiambia ka unataka chapa ila sitakuwa na ushirikiano sana
  13. M

    Wanawake walioolewa

    We una akili sana ngoja nifanye mchakato.
Back
Top Bottom