General Mangi
JF-Expert Member
- Dec 21, 2013
- 15,300
- 23,022
Yani Lema, Msigwa akose pesa ya hapo Nairobi?
Mkuu Nairobi ni kama Dsm tu.
Mkuu Nairobi ni kama Dsm tu.
Wanatumia pesa zao achana na fikra za kimasikini hizo! Roho mbayaaaaa kama sura yako.jitizame kwenye Kioo kwanzaNkamu ghwangu huoni lile jopo ni zito sana? Kwanini wasipungue lakini?
Fanya utoe mchango wako tu boss! Mengine hayakuhusu...Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Aisee, kumbe unaona hakuna sababu za msingi? Unadhani mmemuua Lissu?Najua sio masikini lakini kwanini hizo fedha wasichangie kwenye matibabu kuliko kukaa huko Nairobi bila sababu ya msingi?
Hizo hela mngeziongeza kwenye kulipia matibabu maana kila siku kuna sikika sauti za kuhamasisha michango wakati kuna watu wamekaa tu hukoUnawashangaa Lema na Msigwa? Mbona miye niko huku Kirinyaga tangu siku TLS aletwe? Naishi kwa gharama zangu MWENYEWE! NAISHI Citywall Hotel..
Wabaki huko hadi Mhe. Tundu Lissu arudi. Hilo sio jukumu la mtoa hoja ni suala la CHADEMA. Makosa hayafanywi mara mbili. Hao uliowataja ni wapiganaji wa kweli. Mhe. Lema, Msingwa na wengine mnaotetea uhai wa Kamanda wa ukweli, fanya kazi moja ya kuimarisha usalama wa Mhe. Tundu Lissu, haya mengine tuachie.Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Eeeh ata wakitumia si sawa tu siwapo na mgonjwa,..tumechanga ili lissu awe oky sisi hatujali ata wakiwa 20 uko tutachanga, cha msingi TL arudi akiwa salama thus allHabari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......
Umechanga? Kama Umechanga ulilazimishwa?Habari Wanajamvi,
Kwanza natanguliza pole na kumtakia mema Kamanda wetu Tundu Lissu. Lakini najaribu kufikiri kwanini Msigwa na Lema bado wako Nairobi?
Kwa gharama za nani? Kama za kwao kwanini wasirudi nyumbani kisha hizo fedha wachangie kwenye matibabu?
Tena lile jopo limeambatana na Wake na wenza wao, WHY?
Yawezekana na wao ni sehemu ya matumizi ya fedha zinazochangwa na Watanzania walalahoi........
Jamani rudini nyumbani tuhamasishe michango maisha ya Nairobi ni ghali sana......