Recent content by MATASO

  1. M

    SWALI: Mkoa gani Tanzania ni mzuri kwa kuishi?

    Hope Mara kuzuri tena maeneo ya tarime
  2. M

    Wanajeshi wetu DRC

    Kabla ya kupost malalamiko fanya utafiti wa kina kuhusiana na issue unayo iongelea, make unaweza jikuta upo mbele sana
  3. M

    Hivi inakuwaje Jeshi linapotrain askari wa nchi nyingine?

    Kaka mafunzo ya kijeshi huwa almost yanafanana hiyo ni just kubadilishana uzoefu, tukija kwenye issue ya vita hiyo ni just timing kwa nchi zinazolingana nani atamuwahi mwenzake so issue ya time vitani ni muhim sana
  4. M

    Postal bank

    Habari wajameni! Naomba kuuliza kuhusu post za kazi walizo tangaza postal bank kama 3 weeks hivi. Kuna yeyote aliyeitwa 4 interview? au wameshaweka ndugu zao. Umefika wakati na haya mashirika ya serikali watumishi watafutwe na tume ya ajira.
  5. M

    Degree bora ya biashara

    Bcom safi just my opinion
  6. M

    Katiba: CHADEMA mlikosea! Kubalini yaishe, Tusonge mbele!

    Tatizo cdm wanatumia nguvu sana kuliko akili na busara, so mbadilike hizo sio siasa nzuri, make mkiendelea hivi mtachokwa na hao mnaodhani wanawapenda.
  7. M

    Hii ndio orodha ya vyuo bora tanzania na kozi wanazoongoza kwa ubora wake.

    Ni kweli kabisa UDSM noma hasa kwa Bcom,duh wako vizuri sana
  8. M

    King Mada Maugo kugombeu ubunge Rorya kupitia CHADEMA

    Kila mtu ni politician au umaarufu mlio nao ndo unawapa viburi, sasa nami nakuja huko kupitia chama kikuu .
  9. M

    WAHAYA,WANYIRAMBA na WAZARAMO tunawaogopa sana.

    Nowdays things have changed, its just someones behaviour legardless where coming from
Back
Top Bottom