Kaka mafunzo ya kijeshi huwa almost yanafanana hiyo ni just kubadilishana uzoefu, tukija kwenye issue ya vita hiyo ni just timing kwa nchi zinazolingana nani atamuwahi mwenzake so issue ya time vitani ni muhim sana
Habari wajameni! Naomba kuuliza kuhusu post za kazi walizo tangaza postal bank kama 3 weeks hivi. Kuna yeyote aliyeitwa 4 interview? au wameshaweka ndugu zao. Umefika wakati na haya mashirika ya serikali watumishi watafutwe na tume ya ajira.
Tatizo cdm wanatumia nguvu sana kuliko akili na busara, so mbadilike hizo sio siasa nzuri, make mkiendelea hivi mtachokwa na hao mnaodhani wanawapenda.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.