Hawawezi kupanda humo watakosa pumzi sie wenyewe tunapanda kwa vile hatuna usafiri mwingine, yaani wachukue hatua haraka hali sio nzuri kabisa hata maambukizi ya maradhi ni rahisi.
Kwanza abiria wanakata tiketi, kisha wanasubiri gari zaidi ya saa moja.
Kinachosikitisha ni kuwa baadhi ya vituo havina viti vya kupumzika abiria wala vyoo.
Yaani abiria wa mwendokasi wamekuwa kama watumwa kwani ukisha ingia kituoni huwezi kutoka kwenda kujisaidia nje ya kituo kisha urudi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.