Mungu hupendelea Kuwaita awapendao zaidi April Na Desemba,sio MayKwa mbinuko huo wanaweza toka salama na kukung'uta vumbi maajabu ya mungu.
Duu.. poleni sana huu mwezi ramadhani unataka kuanza tena vibaya na hizi ajali mungu mkubwa kama hamna waliokufaBasi la Kampuni ya MANING NICE ambalo lililokuwa linafanya safari zake kutoka Mtwara kwenda Morogoro, limepata ajali ya kupinduka maeneo ya Kisevule karibu na kiwanda cha Cement mchana wa leo, hakuna vifo vilivyoripotiwa kwa sasa. Taarifa zaidi ya ajali hiyo tutawataarifu kadri tutakavyopata kutoka kwa mamlaka husika.View attachment 778492
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Unajikuta umekaa uchi ghafla.....
Hata hiyo 80km/h sio safe ki hivyo,Si tumeambiwa mabasi yamefungwa ving'amuzi kudhibiti mwendo, hilo imekuwaje likaanguka kwa speed isiyozidi kilometer 80 kwa saa
Doh, ahsante,Mkuu ni 80 KPH
Doh, ahsante,
Nilikosea kuandika but nilimaanisha hiyo Km/hr
Nawaza hii speed akitokea mlevi barabarani anakatiza ghafla ukataka kumkwepa basi kupona ni 50-50 hapa.Gari katika 80 KPH ni controllable kabisa, ungeona madereva wa mashangingi ya serikali wanavyojisugua kwenye viti gari likipoteza mwendo ndipo utaamini kuwa 80 ni ndogo sana na salama