KUTOKA KUKIITA CHUO CHA KATA BAADA YA UDOM KUKAZA MPAKA NAFASI YA PILI MMEBADILI MAADA TENA WATU NYIE MNGEJUA TULIVOTESEKA UDOM MSINGANDIKA HAYA MLIYOANDIKA
Mimi nilifuma text kwamba umeamua kuniumiza mbele ya bwanao au sikikuridhisha dah mapigo ya MOYO ACHA YAENDE KASI ILIBIDI NI PIGE CHINI [emoji23][emoji23]
In addition hapa TZ hakuna kiongozi yoyote wakulinganishwa na kambarage mimi cjaona awe cuf, can, ccm etc wote tulionao ni bongo movie tu sasa basi mwanasiasa akikuambia usiku mwema toka kwanza ukajiridhishe kama ni usiku ndiyo umjibu maana niwaongo mpaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.