Jamaa wengine bhana,usione mtu anatafakari mambo ya nchi eti anasinzia,naomba tuwe great thinker base kama low of jf inavyosema sio tu limuradi eti umeleta hoja
CDM ndo mpago wa Mungu,hakuna kingine cha kuleta mabadiliko kwa watu bali cdm pia mawanzo yako ni mgando kweli,unaamini utabili wa mtu anauraia wa sehemu mbili mstuni na uraiani kama huna hoja lala
Sasa ifike mahali wale wazanzibari waserikali mbili wafikiri mara mbili kwa hili,kwamba serikali yaho haiwatambui kabisa ndio maana AG WEREMA kasema akaulize kwenu zanzibar siyo hapa akiwa na maana ya tanganyika,sasa nyinyi ambao mnatoka zanzibari halafu mnaunga hoja bungeni munahakiri kweli?si...
Haki ya mtu hudaiwa na kudai lazima damu imwangike hivyo hacha wapige tu maana mizengo peter pinda kashasema wapige tu,nawaunga mkono kabisa maisha ni magunu huku mtaani na kazi hamna then mh ni 300000 per day it's right for that...
Daftari ni razma ritoke kwa sababu ni tumia kodi zetu sasa kwnn mseme serikali sikivu,na uchaguzi huu kama daftari nitatoka kwl kama si polojo nyinyimu utaoja joto sakara
Nadhani kwangu mie ni hekima na busara unaotaka kutumika kwa nec,naomba kabla ya kuongeza vituo hivyo watoe daftari la wapiga kura kwanza vijana na wengine ambao hawakuwemo wajiandishe na tarifa zitoke mapema zaidi then ndio wafikri namna ya kuongeza vituo.
Anachotaka mh warioba ni kwamba serikali iache kuwatisha wananch na kuwapa hofu ya jeshi kuchukua nchi kama serikali (fendalation) 3 zitapita,pili anataka maoni ya wananchi yaheshimiwe maana si yake,tatu anauliza ipi yaliye msariti mwlm nyerere maana aliacha nchi moja serikali mbili na mzinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.