CHADEMA wamefunga goli la "kisigino"

CHADEMA wamefunga goli la "kisigino"

mbona heading na habari haviendani? kwa nini usingeandika ukawa wapiga gori la kisigino?
 
Nakushauri ukae na hongera zako mpaka mchakato wa kutafuta wagombea wa urais na wabunge utakapoanza. Hapo ndio tutajua ikiwa UKAWA wapo serious au ni genge maslahi linalounganishwa na upinzani dhidi ya serikali mbili.
 
Ukawa wamewatendea haki watanzania maana hamu ya kuona umoja wao ilikuwa kubwa mno tangu viundwe vyama vingi nchini.nimeamini huu ni mpango wa Mungu kuikomboa Tanganyika na Zanzibar huru kutoka kwa mkoloni mweusi ccm.
 
Kijana nadhani siasa ya Tanzania imekupita kushoto,, ukawa wameungana kishabiki na si ki stratejia... Wameungana huku kila mmoja akiwa na malengo yake binafsi na malengo yenye msukumo wa kutaka kukaa Altareni,, tatizo ni kuwa wateule wanaonyemelea hiyo Altare hakuna hata mmoja anaeweza sema nenda kwanza wewe then baada ya miaka mitano namimi nakuja hapo...hilo halitatokea kamwe.. Lipumba amesubiri sana hawezi kukubali ampishe Dr. Slaa, na Slaa hali kadhalika yeye atasema tu niachieni mimi nimesumbuka sana na umri wangu umenepa... Na CUF hawatakubali hilo. Lakini la muhimu ni kuwa hawaja waunganisha wanachama maana vyama hivi viwili vina upekee kwa wanachama wao....ni tofauti na CCM ambayo inabebwa na mazoea na woga wa mabadiliko... CDM na CUF vinabebwa na'' UDINI'' na ukienda misikitini mashabiki wengi wa siasa huko ni CUF hasa mijini na hali kadhalika ukienda kanisani mashabiki wengi wa siasa humo ni WAKIRISTU (usibishe ndo ukweli) nchi hii haina dini ya serekari ila udini kwa ngazi zote umeshamiri japo ni ukakasi kusema. Hata siku moja watu wa ideology ya kidini ni vivugumu kuwaunganisha maana kila mmoja anajiona yeye ndo sahihi. Na njia ya kwenda kwa bwana ni yake tu ndo imetamkwa kwenye kitabu chake... So UKAWA wakitaka kweli kuungana badi lazima waondoe dhana hii ya udini otherwise hawana hata miezi sita chali (mimi sio wassira) ila ndo ukweli . CCM wao wana wahafidhina waso penda mabadiliko, wanadini zote , wamekosa vijana wa mijini tu ila vijijini vijana ni wao kule kuna kamtindo bila kuwa mwanachama fursa zinakupita kama mbole na pembejeo zingine na mengi mengi kama vibali hivi na vile maana serekari kule ni ya CCM (japo si sera ya CCM ila yanatendeka) .. Wanawake wote ni CCM. Makundi maalumu mengi ni creation ya CCM haya ni yao.. Huku upinzani ,, masela wote wao,, wanaharakati wote wao ,, lakini masela sio wapiga kura hawa ni wanapenda mabadiliko kishabiki tu na muda wa kupiga kura hawana wako kwenye mishemishe tu. Amka kijana hii ndo Tanzania
 
wenye akili wameanza kugawana mali za ccm , maana wameishajua kwamba wanang'oka ! Lakini ninawapa onyo kwamba wakati ukifika , tutawanyang'anya vyote walivyogawana na kuwarejeshea wananchi .
 
Huu Muungano wa mabua kwenye Bajaji ya barafu hauwezi kupita kwenye Moto mkali.
Natarajia mipasho na anguko lao hivi punde....puuu!

ishu itakuwa kwenye nafasi ya kugombea urais mwakani... Lipumba vs padri slaa.... Je, cuf watakubali mgombea wao wa urais awe padri?..je, chadema watakubali mgombea wao wa urais awe muislamu? Ukawa itasambaratika mapema sana?
 
Hoja ya ukanda, udini na ukabila zapeperuka. Sasa naona wameanza ya kitoto ya ugaidi leo. Imejibiwa kitaalam hapa jf ikaonekana ya kitoto kabisa. Nape atapata shinikizo, nimemsikia akiulizwa swali wapo fm, jamaa amechanganyikiwa kabisa anasema " mkiona Ukawa wapigeni mawe" mwandishi akabaki kucheka! aaaah aaah aaaah aaah!!!!

Ni hapo katibu mwenezi wa chama tawala anapotoa kauli ya kichochezi... patamu hapo
 
ishu itakuwa kwenye nafasi ya kugombea urais mwakani... Lipumba vs padri slaa.... Je, cuf watakubali mgombea wao wa urais awe padri?..je, chadema watakubali mgombea wao wa urais awe muislamu? Ukawa itasambaratika mapema sana?

warundi mnaendekeza sana udini.
 
Huu Muungano wa mabua kwenye Bajaji ya barafu hauwezi kupita kwenye Moto mkali.
Natarajia mipasho na anguko lao hivi punde....puuu!


attachment.php
 
Mleta mada ni kama hauna uzoefu na siasa za Tanzania... hii si mara ya kwanza upinzani kutangaza kuungana! Assume leo hii Jimbo la Temeke linakuwa wazi, ambako CUF na CHADEMA wote wana nguvu za kutosha... hapatatokea kati yao wa kumwachia mwenzako... kila mmoja atataka ku-test zari! Lakini ikitokea jimbo X huko ZNZ lipo wazi, CHADEMA watajifanya kuwaunga mkono CUF coz' wanafahamu wao hawana chao visiwani... na ikiwa Jimbo linabaki wazi say, Arusha, CUF watajifanya kuwaunga mkono CHADEMA coz' wanafahamu CUF Arusha hawana chao... hamna kitu hapo!

Kuhusu influence ya CHADEMA... watu wengi kama sio wote wanapiga hesabu zao vibaya... wengi wanaamini umoja wa UKAWA utainufaisha CHADEMA lakini msingi, watakaofaidika na UKAWA ni CUF na NCCR! CUF anazo nguvu za kutosha kule ZNZ, hususani Pemba... kule Pemba walianza kuikataa ASP, wakaja kuikataa CCM... si rahisi hata kidogo ama kwa CHADEMA au NCCR kupata nguvu kule Pemba/ZNZ hata kama UKAWA wanapiga kambi ZNZ/Pemba mwaka mzima... wapemba huwaambiwi kitu Kuna wakati NCCR waliwahi kuifitini CUF kule Pemba, walichoambulia ni aibu pamoja na kupeleka mabati ya msaada ktk harakati zao za kutaka kuungwa mkono na Wapemba!!

Kwa upande mwingine, movement za UKAWA huku bara zitasaidia sana kuifufua CUF na NCCR! Ingawaje CUF imejisimika zaidi ZNZ lakini huku Bara, angalau mikoa ya Pwani walikuwa na ushawishi ambao ulianza kupungua... UKAWA itawa-boost... na hili ndivyo kwa NCCR! Tukija upande wa CHADEMA, tayari walishakuwa na ufuasi wa kutosha huku bara lakini hapa kati kati CHADEMA wamewazingua wengi! Wapo waliokuwa mashabiki wa CHADEMA lakini wakaamua kukaa pembeni baada ya kuona migogoro isiyoisha ya uongozi! Hawa ni wale ambao hawaamini katika CCM lakini kwavile chama pekee walichokuwa wanakitegemea (CHADEMA) kiliwazingua, wakaamua kukaa kando! UKAWA, itawazindua tena watu hawa... na kv hawana tena imani na CHADEMA, si ajabu wengi wakakimbilia nccr au hata CUF! Trust me, ingawaje watu wanadhani CUF wanacheza ngoma wasiyoijua, lakini ni CHADEMA ndio wanacheza ngoma wasioijua!

c.c:JokaKuu
, Yericko Nyerere
 
Mleta mada ni kama hauna uzoefu na siasa za Tanzania... hii si mara ya kwanza upinzani kutangaza kuungana! Assume leo hii Jimbo la Temeke linakuwa wazi, ambako CUF na CHADEMA wote wana nguvu za kutosha... hapatatokea kati yao wa kumwachia mwenzako... kila mmoja atataka ku-test zari! Lakini ikitokea jimbo X huko ZNZ lipo wazi, CHADEMA watajifanya kuwaunga mkono CUF coz' wanafahamu wao hawana chao visiwani... na ikiwa Jimbo linabaki wazi say, Arusha, CUF watajifanya kuwaunga mkono CHADEMA coz' wanafahamu CUF Arusha hawana chao... hamna kitu hapo!

Kuhusu influence ya CHADEMA... watu wengi kama sio wote wanapiga hesabu zao vibaya... wengi wanaamini umoja wa UKAWA utainufaisha CHADEMA lakini msingi, watakaofaidika na UKAWA ni CUF na NCCR! CUF anazo nguvu za kutosha kule ZNZ, hususani Pemba... kule Pemba walianza kuikataa ASP, wakaja kuikataa CCM... si rahisi hata kidogo ama kwa CHADEMA au NCCR kupata nguvu kule Pemba/ZNZ hata kama UKAWA wanapiga kambi ZNZ/Pemba mwaka mzima... wapemba huwaambiwi kitu Kuna wakati NCCR waliwahi kuifitini CUF kule Pemba, walichoambulia ni aibu pamoja na kupeleka mabati ya msaada ktk harakati zao za kutaka kuungwa mkono na Wapemba!!

Kwa upande mwingine, movement za UKAWA huku bara zitasaidia sana kuifufua CUF na NCCR! Ingawaje CUF imejisimika zaidi ZNZ lakini huku Bara, angalau mikoa ya Pwani walikuwa na ushawishi ambao ulianza kupungua... UKAWA itawa-boost... na hili ndivyo kwa NCCR! Tukija upande wa CHADEMA, tayari walishakuwa na ufuasi wa kutosha huku bara lakini hapa kati kati CHADEMA wamewazingua wengi! Wapo waliokuwa mashabiki wa CHADEMA lakini wakaamua kukaa pembeni baada ya kuona migogoro isiyoisha ya uongozi! Hawa ni wale ambao hawaamini katika CCM lakini kwavile chama pekee walichokuwa wanakitegemea (CHADEMA) kiliwazingua, wakaamua kukaa kando! UKAWA, itawazindua tena watu hawa... na kv hawana tena imani na CHADEMA, si ajabu wengi wakakimbilia nccr au hata CUF! Trust me, ingawaje watu wanadhani CUF wanacheza ngoma wasiyoijua, lakini ni CHADEMA ndio wanacheza ngoma wasioijua!

c.c:JokaKuu
, Yericko Nyerere

..kwanza, sitaki kabisa kuisikia CCM.

..pili, baada ya kusikia toka kwa waziri Lukuvi kwamba gharama za kumtumza Raisi ni sawa na bajeti ya mikoa mitano, nikaona suluhisho hapa ni kutawaliwa kijeshi tu.

..hii nchi imeoza tunapaswa kuanza upya. bora waje hao maafande wasafishe uoza huu kabla ya kuruhusu tena siasa za vyama nchi hii.

..kwa hiyo mimi nimeshatoka ktk siasa zenu za vyama.
 
Naomba Mungu aubariki ukawa,na uchukue nchi hii ili adabu ipatikane kwa watumishi na wara rushwa
 
Biblia inasema " nayaweza yote katika yeye anitiaye nguvu" . UKAWA OYEEEEE!, MUNGU IBARIKI TANZANIA.
Dawa ya kusambaratisha ukawa ipo jikoni. Unadhani sisiemu itakaa kumya? Itacheza karata zote kuhakikisha wanasambaratika!
 
..kwanza, sitaki kabisa kuisikia CCM.

..pili, baada ya kusikia toka kwa waziri Lukuvi kwamba gharama za kumtumza Raisi ni sawa na bajeti ya mikoa mitano, nikaona suluhisho hapa ni kutawaliwa kijeshi tu.

..hii nchi imeoza tunapaswa kuanza upya. bora waje hao maafande wasafishe uoza huu kabla ya kuruhusu tena siasa za vyama nchi hii.

..kwa hiyo mimi nimeshatoka ktk siasa zenu za vyama.
Nahis kama natamani hivi kutaka kukuunga mkono kwa 100%... ila kama ndivyo maoni yako ndo haya kwanini uliacha kuniunga mkono wakati napigia upatu suala la what's so called "Good Governance" ambayo ingawaje ni mfumo wenye jina tamu na la kuvutia lakini kimsingi ni mfumo unaotumika kama kichaka cha mafisadi na viongozi wazembe... mfumo unaoshadidia utawala wa sheria, yaani utawala wa sheria utoke kwa mafisadi na wazembe... what a ----! Nasi kama mazuzu tumekuwa tukishadadia kwa mbwembwe na vifijo bila kujiuliza ni kwanini leo viongozi wa Afrika ambao kwa miongo kadhaa wamekuwa wakipinga mifumo inayoletwa na watu wa magharibi, hivi sasa viongozi wetu wanaunga mkono mfumo wa utawala bora walioletewa na hao hao watu wa magharibi... hatutaki kujiuliza, WHY? Kumbe jibu ni simple, wanaushabikia mfumo huu coz' kichaka cha uovu wao... huwezi kuwafanya chochote coz' ni mfumo unaozingatia utawala wa sheria... whereas, a person atabaki mtuhumiwa hadi ithibitike beyond reasonable doubt kwamba ametenda kosa analotuhumiwa! Kama si utawala wa kijeshi kama unavyopendekeza basi tu-replace Approved Dictatorship Governance with Good Governance!
 
Back
Top Bottom