Lara 1 itabidi ufanye mpango watu tukulipe maana pamoja na stress za majipu watu wanaona nacheka tu peke yangu hapa ofisini.vipi mwenzetu leo una nini?kumbe mangi ananichekesha hapa
Jana jumatatu SAA kumi na moja jioni nilipigiwa simu na mtu wa LAPF kuwa natakiwa kuhudhuria interview Dodoma jumatano tareh 16/09 saa tano asbuhi.sasa maswali ya kujiuliza:
1.hivi mtu huko Dar unapigiwa simu jioni utajipanga saa ngapi ili kesho uanze safari ukizingatia ofisi zimeshafungwa na...
Hayo ni majungu nadhani huyu huihui ni Mwaifani mkurugenzi anayekaimu anahangaika sana kupata hii nafasi lakini kachemsha.Rugambwa ripoti haraka watu MSD tumechoka na huyu fisadi papa Mwaifani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.