Masikini Wassira unakufa kisiasa hivi hivi baba? Binti mdogo Ester Bulaya kakugalagaza pole pole sana baba subiri viti maalumu CCM inarekebisha katiba yake kikao kijacho.Ila Chadema haifi utakufa wewe
Hivi huyu Manji ndiye yule aliyepewa Tenda Na Manispaa ya Kinondoni kutengeneza matela ya kusomba takataka Na Lukuvi akiwa Mkuu Wa mkoa Wa Dar akagoma kuyazindua kutokana Na kuwa chini ya Kiwango?
Kuna hoja inazungumzwa sana katika Vyombo vya habari hususani Gazeti la Uhuru Na Mitandao ya kijamii juu ya Katibu Mkuu Wa Wizara ya Ardhi kutengeneza gari lililokuwa linatumiwa Na aliyekuwa Waziri Wa Ardhi Anna Tibaijuka kupata ajali.Matengenezo ya gari hiyo yamegharimu sh.milioni 55 Fedha za...
Waziri Mkuu Bw.Majaliwa juzi alienda jimboni kwake Na kufanya mkutano Wa hadhara Wa kuwashukuru wananchi wake.Kwa kuwa yeye kesha washukuru wananchi wake akaamua kupiga marufuku mikutano ya vyama kufanya mikutano.Tunajiuliza in Sheria IPI inazuia mikutano ya vyama? Kuna tatizo gani vyama kufanya...
Barbarossa we we ndio mpumbavu hoja in kuzuia mikutano ya vyama.Mikutano ya vyama iko kisheria Na kikatiba hakuna aliye juu ya katiba sio Magufuli wala Majaliwa wote wako chini ya katiba hakuna Mwenye uwezo Wa kuzuia vyama kufanya mikutano.
Bw. Kilambalambila acha upumbavu Mh.magufuli hawezi kuongoza anavyojua ataongoza Kwa kufuata katiba Na ayafanyayo ndio ilani ya Wapinzani isemavyo ya CCM haitamki ayafanyao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.