Recent content by Masterplaner

  1. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Uchaguzi Zambia 2026: Hakainde Hichilema ashinda Urais kwa muhula wa pili

    Gharama ya maisha iko juu sana kwenye ile nchi
  2. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Mimi na mzee wangu hatuko sawa, na sioni dalili ya kuja kuwa sawa tena

    Kwauzoefu wangu hiyo ni hali ya kawaida kwa vijana wengi wa rika kama lakwako ni stage tu katika ukuwaji wa ubongo wako ,Utaanza kumuelewa baba yako ukitimiza miaka kuanzia 35+
  3. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Super El nino 2026/2027.. El nino ya kihistoria

    Wakati ilipotokea utawala wa Mkapa tulishuhudia reli ikisombwa na maji barabara madaraja mifugo pamoja na miti mikubwa ambayo hatukuwahi kushuhudia nyumba kuanguka nk
  4. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Nisamehe sana John Pombe Magufuli mwema wa Africa

    Mfumo alioutengeneza Nyerere kuzuia nchi isiingilike kirahisi na wenye nia mbaya kutoka nje ya nchi yetu ni mzuri mno na nikiri naupenda sana Shida yetu kubwa iliyo tufikisha hapa tunapenda sana bila kuwa na kiasi kiufupi MAHABA ndiyo yaliyotufikisha hapa "Mahaba niue" nayatatuua kweli...
  5. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Mtu ana umaskini wa kutosha, familia inakula dagaa, mavazi ya mtumba lakini ànasomesha mtoto shule ya kulipia

    Kwenye mavazi ya mtumba hapo, mimi binafsi napenda mtumba kutokana na material zinazotumika kutengenezea mavazi hayo niza kiwango cha juu ukilinganisha na hizi mpya za kichina mfano mtu unanunua sendo soli ngumu kama kipande cha ubao mguu hauko comfortable kabisa unapo vaa ila unaonekana...
  6. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Hivi mpenzi wako akikuuliza “Una lengo gani na mimi” unamjibuje?

    Mimi binafsi nina furaha na haya mahusiano yetu ila kama wewe una mtazamo mwingine nijurishe
  7. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Unyama: Halmashauri ya Wilaya ya Kyela yatoza wakulima ushuru kwa gunia moja la mpunga tsh 2000/= hata kama hauuzi

    Shule amesoma shida ni mambo ya kimfumo tu ni memsikia akihojiwa kyela fm radio
  8. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Zingatia mambo haya kila unapoingia saloon kunyoa ama kusuka

    Kutishana tu pamoja na uelewa mdogo kuhusu jambo hili na kuharibiana biashara, Jambo la kwanza virus haviwezi kusurvive zaidi ya dk5 kwenye mashine na vitana' Barbershop zote zinaosha wateja wao kwa sabuni hivyo kupunguza uwezekano wa magonjwa ya ngozi kwa asilimia mia unless kama bado...
  9. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeshindwa kuipata kama una link tuwekee
  10. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Ipi feni (panga boy ) imara

    Panasonic original
  11. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Mapato ya ofice yako hutakiwi kupata zaidi ya asilimia 40 kama wewe si sehemu ya watendaji, asilimia 60 itumike kwenye miishahara na gharama za uendeshaji wewe ni muasisi ofice ni ya watendaji wao wanawajibika kukupa hiyo 40percent kama muasisi. Haiwezekani watu watumie siku nzima kufanya kazi...
  12. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya kutoka Ibanda mpaka Kyela Mjini irekebishwe, kuna sehemu zina mashimo mengi

    Tabu sana hiyo barabara serikali inakusanya pesa nyingi sana kupitia zao la kokoa wilayani kyela na zote zinapitishwa hapohapo ni kero ya miaka mingi sana
Back
Top Bottom