Recent content by Masterplaner

  1. Masterplaner

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeshindwa kuipata kama una link tuwekee
  2. Masterplaner

    Ipi feni (panga boy ) imara

    Panasonic original
  3. Masterplaner

    Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Mapato ya ofice yako hutakiwi kupata zaidi ya asilimia 40 kama wewe si sehemu ya watendaji, asilimia 60 itumike kwenye miishahara na gharama za uendeshaji wewe ni muasisi ofice ni ya watendaji wao wanawajibika kukupa hiyo 40percent kama muasisi. Haiwezekani watu watumie siku nzima kufanya kazi...
  4. Masterplaner

    KERO Barabara ya kutoka Ibanda mpaka Kyela Mjini irekebishwe, kuna sehemu zina mashimo mengi

    Tabu sana hiyo barabara serikali inakusanya pesa nyingi sana kupitia zao la kokoa wilayani kyela na zote zinapitishwa hapohapo ni kero ya miaka mingi sana
  5. Masterplaner

    Wale ni Wayahudi wa kutengeneza, msikilizeni huyu mchungaji

    Mtumishi wa Mungu Mfalme Daudi aliua maelfu ya wafilisti na alikuwa karibu sana na Mungu, alipaswa aeleze waisrael halisi ni akinanani lakini siyo kuipinga Israel kwa kujificha katika kichaka cha kupinga mauaji
  6. Masterplaner

    Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Wanao kutazama hawapo tena Yanga
  7. Masterplaner

    Tetesi: Je, kuna mgao wa umeme? Mbona kama umeanza mapema sana mwaka huu?

    Hauitwi mgao sikuhizi wameubatiza jina jipya unaitwa kukosekana umeme kwasababu ya MABORESHO YA MIUNDOMBINU
  8. Masterplaner

    Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    Msijali mabasi mapya yanayo kuja yatapewa jina la Golden Deer kupunguza taharuki
  9. Masterplaner

    Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    New force bado nichaguo sahihi mkuu pendelea kusafiri nazile zinazo anza safari saa12 asubuhi nyingi zinazopata ajari ni zile za saa9 nasaa11 alfajiri ziko speed sana
  10. Masterplaner

    Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    New force pamoja na magumu wanayo pitia nikampuni iliyo saidia Sana kuondoa mabasi mabovu kwenye ruti nyingi hapa Tanzania Hao jamaa Kila baada ya miezi 6 wanaleta mabasi mapya yasiyo pungua 20 kwa Hilo nawakubali sana
  11. Masterplaner

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    maada odds 3 za uhakika betpawa unga umekata 🙏🙏
Back
Top Bottom