Mapato ya ofice yako hutakiwi kupata zaidi ya asilimia 40 kama wewe si sehemu ya watendaji, asilimia 60 itumike kwenye miishahara na gharama za uendeshaji wewe ni muasisi ofice ni ya watendaji wao wanawajibika kukupa hiyo 40percent kama muasisi. Haiwezekani watu watumie siku nzima kufanya kazi...
Tabu sana hiyo barabara serikali inakusanya pesa nyingi sana kupitia zao la kokoa wilayani kyela na zote zinapitishwa hapohapo ni kero ya miaka mingi sana
Mtumishi wa Mungu Mfalme Daudi aliua maelfu ya wafilisti na alikuwa karibu sana na Mungu, alipaswa aeleze waisrael halisi ni akinanani lakini siyo kuipinga Israel kwa kujificha katika kichaka cha kupinga mauaji
New force bado nichaguo sahihi mkuu pendelea kusafiri nazile zinazo anza safari saa12 asubuhi nyingi zinazopata ajari ni zile za saa9 nasaa11 alfajiri ziko speed sana
New force pamoja na magumu wanayo pitia nikampuni iliyo saidia Sana kuondoa mabasi mabovu kwenye ruti nyingi hapa Tanzania Hao jamaa Kila baada ya miezi 6 wanaleta mabasi mapya yasiyo pungua 20 kwa Hilo nawakubali sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.