Recent content by Masterplaner

  1. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Nimeshindwa kuipata kama una link tuwekee
  2. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Ipi feni (panga boy ) imara

    Panasonic original
  3. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya kutodumu na wafanyakazi inatishia kunifilisi

    Mapato ya ofice yako hutakiwi kupata zaidi ya asilimia 40 kama wewe si sehemu ya watendaji, asilimia 60 itumike kwenye miishahara na gharama za uendeshaji wewe ni muasisi ofice ni ya watendaji wao wanawajibika kukupa hiyo 40percent kama muasisi. Haiwezekani watu watumie siku nzima kufanya kazi...
  4. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara ya kutoka Ibanda mpaka Kyela Mjini irekebishwe, kuna sehemu zina mashimo mengi

    Tabu sana hiyo barabara serikali inakusanya pesa nyingi sana kupitia zao la kokoa wilayani kyela na zote zinapitishwa hapohapo ni kero ya miaka mingi sana
  5. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Wale ni Wayahudi wa kutengeneza, msikilizeni huyu mchungaji

    Mtumishi wa Mungu Mfalme Daudi aliua maelfu ya wafilisti na alikuwa karibu sana na Mungu, alipaswa aeleze waisrael halisi ni akinanani lakini siyo kuipinga Israel kwa kujificha katika kichaka cha kupinga mauaji
  6. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Picha: Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa Edward Cossey akisalimiana na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya Ole Sabaya

    Anajiiiibu maoombiiiii×2 Naamuuu amiiiini BWANA.
  7. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Tafsiri ya picha katika ulimwengu wa kiroho

    Wanao kutazama hawapo tena Yanga
  8. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Je, kuna mgao wa umeme? Mbona kama umeanza mapema sana mwaka huu?

    Hauitwi mgao sikuhizi wameubatiza jina jipya unaitwa kukosekana umeme kwasababu ya MABORESHO YA MIUNDOMBINU
  9. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Ferre Gola ndiye baba lao kwa sasa hili haina ubishi

    Asante sana
  10. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    Msijali mabasi mapya yanayo kuja yatapewa jina la Golden Deer kupunguza taharuki
  11. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    New force bado nichaguo sahihi mkuu pendelea kusafiri nazile zinazo anza safari saa12 asubuhi nyingi zinazopata ajari ni zile za saa9 nasaa11 alfajiri ziko speed sana
  12. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Basi la New Force lapata ajali leo asubuhi

    New force pamoja na magumu wanayo pitia nikampuni iliyo saidia Sana kuondoa mabasi mabovu kwenye ruti nyingi hapa Tanzania Hao jamaa Kila baada ya miezi 6 wanaleta mabasi mapya yasiyo pungua 20 kwa Hilo nawakubali sana
  13. Masterplaner

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    maada odds 3 za uhakika betpawa unga umekata 🙏🙏
Back
Top Bottom