Kwauzoefu wangu hiyo ni hali ya kawaida kwa vijana wengi wa rika kama lakwako ni stage tu katika ukuwaji wa ubongo wako ,Utaanza kumuelewa baba yako ukitimiza miaka kuanzia 35+
Wakati ilipotokea utawala wa Mkapa tulishuhudia reli ikisombwa na maji barabara madaraja mifugo pamoja na miti mikubwa ambayo hatukuwahi kushuhudia nyumba kuanguka nk
Mfumo alioutengeneza Nyerere kuzuia nchi isiingilike kirahisi na wenye nia mbaya kutoka nje ya nchi yetu ni mzuri mno na nikiri naupenda sana
Shida yetu kubwa iliyo tufikisha hapa tunapenda sana bila kuwa na kiasi kiufupi MAHABA ndiyo yaliyotufikisha hapa "Mahaba niue" nayatatuua kweli...
Kwenye mavazi ya mtumba hapo, mimi binafsi napenda mtumba kutokana na material zinazotumika kutengenezea mavazi hayo niza kiwango cha juu ukilinganisha na hizi mpya za kichina mfano mtu unanunua sendo soli ngumu kama kipande cha ubao mguu hauko comfortable kabisa unapo vaa ila unaonekana...
Kutishana tu pamoja na uelewa mdogo kuhusu jambo hili na kuharibiana biashara, Jambo la kwanza virus haviwezi kusurvive zaidi ya dk5 kwenye mashine na vitana' Barbershop zote zinaosha wateja wao kwa sabuni hivyo kupunguza uwezekano wa magonjwa ya ngozi kwa asilimia mia unless kama bado...
Mapato ya ofice yako hutakiwi kupata zaidi ya asilimia 40 kama wewe si sehemu ya watendaji, asilimia 60 itumike kwenye miishahara na gharama za uendeshaji wewe ni muasisi ofice ni ya watendaji wao wanawajibika kukupa hiyo 40percent kama muasisi. Haiwezekani watu watumie siku nzima kufanya kazi...
Tabu sana hiyo barabara serikali inakusanya pesa nyingi sana kupitia zao la kokoa wilayani kyela na zote zinapitishwa hapohapo ni kero ya miaka mingi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.