Recent content by MasterP.

  1. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Utekaji, Ripoti ya Chande, imeakisi sababu zilezile za Jeshi la Polisi wanazotoa Kila siku

    Maoni ya wananchi gani? Asilimia kubwa (90+) ya hao waliohojiwa na hiyo tume ni wana CCM. Sasa hapo unataajia nini?
  2. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

    Nyie SIDO hebu wacheni mzaha basi.... Yani mnachekesha hadi walionuna..
  3. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wa Kyela FM walioripoti kuhusu Afande aliyetoa kero kwa Mwigulu 'kutoweka', wamekamatwa na polisi

    wale hamna kitu kabisa. watu wenyewe machawa kama wakina balile utarajie kipi cha maana?
  4. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kutunukiwa Shahada ya Heshima na Chuo Kikuu cha NASARAWA cha Nigeria, leo Aprili 11, 2026

    Mi nilijua nasarawa ni aina flani ya dawa za kienyeji..!
  5. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Rais Samia akutana na Wagombea Urais kutoka Vyama 16 baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2025

    Hii ni kwel au ndo sikukuu ya wajinga?
  6. MasterP.

    JamiiForums Tanzania TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Naona mitandaoni watu wanashukuru hata kwa hiki kidogo Mungu alichofanya.. ! Hivi nani anatakiwa kudanja ili watu waweze kushukuru mungu kwa kishindo wajameni...? Nauliza tu..
  7. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    OK. TUKUTANE TENA TAR. 20 APRILI.....
  8. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Yes, tumemisi sana kiti moto aisee dah..
  9. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Jesca Magufuli: Hayati Magufuli hakuwahi kuhudhuria harusi za watoto wake, aliacha harusi ya kaka akaenda kuangalia mechi ya Simba Vs Yanga

    Duh. lakini kwangu hii ni poa tu. Haya masherehe haya mengi ni kupoteza muda na fedha bure.
  10. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    ni kweli mkuu?
  11. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    09:56 am mambo bado ni 0-0
  12. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hii ngoma itakuwa kesho
  13. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hii ni kitu gani mkuu hebu tupeane ilmu kidogo...
Back
Top Bottom