Recent content by MasterP.

  1. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Wadada wanadanganywa sana na Rose Shaboka

    Yule anaonekana kama ni punga flani hivi
  2. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Shwaaaaaa Ngoma imetiki....... Cearadebee...... Tukutane July 23.
  3. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama kingekuwepo hicho kipengele mbona wengi tungekosa
  4. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    CRDB SIWASOMI KABISA WANATUNYANYASA SANA
  5. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    :D:D:D
  6. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kwangu bado ni nyau-nyau
  7. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hamnabkitubhebubtuonyeshe tarehw Hamna kitu, famba hilo, hebu tuonyeshe tarehe na muda
  8. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hata mie Sielewiiiii....... Yani hadi muda huu akaunti bado haisomiiiiiii.........
  9. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mbaroni kwa kuchoma moto chumba na kusababisha kifo cha mabinti wawili kisa aliachwa na mmoja wapo

    Shenzi kabisa.. ushamba wa mbunye ni tatizo kubwa sana.
  10. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Marekani yaondoa baadhi ya masharti makali kwa Tanzania

    UGORO MTUPU
  11. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Dah hata sielewi elewi mimi nimeshakaa kwenye kiti kirefu bia mbili mezani nikitarajia muda wowote ngoma inajibu. sasa usipoingia jioni hii ntaacha shati na viatu hapa dah
  12. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Kuhusu Utekaji, Ripoti ya Chande, imeakisi sababu zilezile za Jeshi la Polisi wanazotoa Kila siku

    Maoni ya wananchi gani? Asilimia kubwa (90+) ya hao waliohojiwa na hiyo tume ni wana CCM. Sasa hapo unataajia nini?
  13. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Tetesi: SIDO kuunda ndege ya kubeba abiria 500

    Nyie SIDO hebu wacheni mzaha basi.... Yani mnachekesha hadi walionuna..
  14. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wa Kyela FM walioripoti kuhusu Afande aliyetoa kero kwa Mwigulu 'kutoweka', wamekamatwa na polisi

    wale hamna kitu kabisa. watu wenyewe machawa kama wakina balile utarajie kipi cha maana?
Back
Top Bottom