Recent content by MasterP.

  1. MasterP.

    TANZIA Waziri William Lukuvi (na Mbunge wa Isimani) afariki Dunia

    Naona mitandaoni watu wanashukuru hata kwa hiki kidogo Mungu alichofanya.. ! Hivi nani anatakiwa kudanja ili watu waweze kushukuru mungu kwa kishindo wajameni...? Nauliza tu..
  2. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    OK. TUKUTANE TENA TAR. 20 APRILI.....
  3. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Yes, tumemisi sana kiti moto aisee dah..
  4. MasterP.

    Jesca Magufuli: Hayati Magufuli hakuwahi kuhudhuria harusi za watoto wake, aliacha harusi ya kaka akaenda kuangalia mechi ya Simba Vs Yanga

    Duh. lakini kwangu hii ni poa tu. Haya masherehe haya mengi ni kupoteza muda na fedha bure.
  5. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    09:56 am mambo bado ni 0-0
  6. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hii ngoma itakuwa kesho
  7. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Hii ni kitu gani mkuu hebu tupeane ilmu kidogo...
  8. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    nasikia wajeda tayari wameshatiliwa mambo....
  9. MasterP.

    Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    wale jamaa kwa kweli hawalii njaa ila sie walimu ni shida sana..
  10. MasterP.

    Ramadhani imeshaingia zile nyuzi zimeshaanza

    Duh! Hatare kumbe ni wanaume hawa..
Back
Top Bottom