Recent content by MasterP.

  1. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    sasa hao maafisa vipenyo watajaza nini kwenye pepmis au wanapimwa kwamba wameua watu wangapi wanaopinga serikali ndo wanapata credit... :D :D :p
  2. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Tunakufwaaa....
  3. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kivipi hebu fafanua mkuu...
  4. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Unakumbuka nini kuhusu mgomo wa madaktari mwaka 2012?

    Mimi kupitia mgomo ule ndo niligundua kuwa kumbe serikali huwa inateka na kuumiza watu wake....!
  5. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Kama bado basi hii ngoma ni keshokutwa...
  6. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Kwa wakatoliki huku parokiani kwetu ukiwa hujafunga ndoa ama wewe ni single mother/ baba ukifa hauzikwi na hata watoto wako hawabatizwi tena!

    Kumbe ni hivyo.... Mi nilijua hata mtu mzima ambaye hajaoa/kuolewa na hajazaa na mtu yeyote akifa hazikwi na kanisa....! Ningeshangaa kwa kweli.
  7. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Makato yameshapita lakini wakuu..?
  8. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Mshahara wa Januari vipi mbona unachelewa?

    Uzi pendwa umewadia tena... vipi wadau kuna chochote kitu leo...
  9. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Julie Ward: Ndoto ya safari iliyoishia katika mauaji ya yasiyowahi kutatuliwa na ya kutisha zaidi nchini Kenya.

    Unadhani kila mtoto wa rais ana akili? wengi ni wapuuzi na vilaza tu. ni kwamba majina ya madingi zao ndo yanawabeba ila wengi vichwani hamna kitu.
  10. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Waislamu kuna mada yenu hapa.Kwa nini mnapenda kukimbilia nchi ambazo sio dini yenu.

    Kama ni hivyo mkuu sasa ni kwa nini wakifika kwenye hizo nchi wanaokolelekea huanza kishinikiza mfumo walioukimbia wa sharia kutumika kwenye hizo nchi..?!!
  11. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Tukio la kupendeza la refa wa jana France vs Spain kuweka msalaba kwenye filimbi yake

    Kwa hiyo ndo kusema kuwa kombe la dunia linaendeshwa kwa mfumo kristo ama...
  12. MasterP.

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Serikali ya Kisengeeeeee kumamamakooooo...............
  13. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Godfrey Mosha: Watanzania wanadanganywa eti kuna utekaji ni uongo mtupu

    Who is this Mothafucker...?
  14. MasterP.

    JamiiForums Tanzania Wadada wanadanganywa sana na Rose Shaboka

    Yule anaonekana kama ni punga flani hivi
Back
Top Bottom