Yani tunatengeneza kwa nini? figma, adobe xd au html na css kabisa. Kama ni html, css, js hili haliwezekani. 😂😂. Na nakubaliana na wewe muonekano wa hizi website ni wa kizamani sana, sema naona government website za nchi nyingi au institutes kama za elimu huwa zinakua hivi. sasa sijui huwa ndio...
Pole, hiyo virus nahisi ni randomware, huwa ni ngumu kurudisha mafile kwasababu yanakua encrypted ila kuna website zinasema zinaweza ku decrypt extension kadhaa za encrypted files lakini mimi sijawahi jaribu labda google ujaribu.
Kama umeshaangalia video za masaa 6 na haujisikii kama umeelewa, hii ni kawaida sana kwenye programming. Tatizo hapa ni kwamba una consume vitu vingi lakini hauvi apply.
Kwahiyo nakupa ushauri ambao siku niliopewa nilijiuliza kwanini sikupewa siku nyingi. Ushauri ni kwamba unapojifunza kitu...
Niliagiza tws earphones wakaniwekea hivyo. Nilipoenda posta wakaniambia lazima nilipie kodi. Nikawadanganya earphones nimenunua 40 badala ya 110 nikapigwa kodi ya kama 20000 hivi. Sasa sijui kama kudanganya ilisaidia au vipi. Kwasababu nilijua labda nikidanganya itakuwa kama 5000 hivi lakini...
Mimi huwa inanisumbua hata siku nzima, hata kabla ya bei mpya ya vifurushi ilikuwa inasumbua hivi hivi. Jaribu kila baada ya masaa 4. Usiku ndio naona afadhali zaidi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.