Nimevamiwa na NUSM Virus

Hiyo kupandikizia windows ni kitu nilikua nafanya wakati najifunza kuinstall windows.

Kwa sasa hivi siwezi kufanya hivyo.

Now kirusi kipo kwenye Local Disk C ukaamua kuinstall windows kwa kuipandishia kisha akimaliza aingie kwenye Windows old si atakua anakirudisha upya kirusi?
hizo infected files zimekuwa locked uwezi ifungua popote mpaka urun special malware remover.ata ukikopy na kuifungulia kwenye PC nyingine azifunguki
 
nusm ni ransomware, files zimefungwa izo mpaka ulipie ndio zifunguliwe

sahau izo files, clean install windows kwa C drive, kisha scan drives zilizobaki kuondoa traces za virus waliobaki
Unashauriwa kutolipa ransom.Kuna tools za kufungua files hizo.Ukiformat PC maana ake files zote unazipoteza milele
 
Hakuna anti virus inayoweza kuclean ransomware?
'anti-virus' inakua effective hasa kabla hao jamaa hawajawa executed,

hao jamaa washatapakaa, pengine washa compromise na 'anti-virus' yenyewe

ilibidi mtoa mada a-scan file a-lilo-download huko kabla ya kuli-run

aki full-scan sa-ivi kibishi bishi, traces bado zitabaki na ni swala la mda tu kabla virus ku-self-replicate tena

clean install ni njia bora kuwa kwenye safe side zaidi
 
Ni muhimu muwe unafanya dual boot kwenye PC zenu kati ya windows na linux......kwenye kashkash ya aina hii...unaweza boot kupitia ubuntu or any other linux na ukafanikiwa kupata access ya files zako zilizo kuwa infected katika partition ya windows.
 
hizo infected files zimekuwa locked uwezi ifungua popote mpaka urun special malware remover.ata ukikopy na kuifungulia kwenye PC nyingine azifunguki
Kusema huwezi zifungua popote ni overstatement.
 
'anti-virus' inakua effective hasa kabla hao jamaa hawajawa executed,

hao jamaa washatapakaa, pengine washa compromise na 'anti-virus' yenyewe

ilibidi mtoa mada a-scan file a-lilo-download huko kabla ya kuli-run

aki full-scan sa-ivi kibishi bishi, traces bado zitabaki na ni swala la mda tu kabla virus ku-self-replicate tena

clean install ni njia bora kuwa kwenye safe side zaidi
Bado naona aipe smadav a shot kwakua ndiyo cheap option unless awe na mpunga wa kulipia anti virus ambayo haikimbilii kufuta file lenye kirusi.
 
unaweza boot kupitia ubuntu or any other linux na ukafanikiwa kupata access ya files zako zilizo kuwa infected katika partition ya windows
mtoa mada hasa anataka kuondoa virus, sio kupata files, kwa maelezo yake ya juu

na files hawezipata kwa njia uisemayo , files zimebadilishwa 'content' , hata akingilia nyuma kwa Linux, content za files zitabaki kuwa vile-vile aionayo kwenye Windows
 
True.

files zilizofungwa na kirusi tunazifanyaje? Notice kwamba anti virus nyingi zinafuta file lenye kirusi badala ya kuscan na kuliacha.
Ukimaliza ku-scan unajaribu ATTRIB command kufichua files zilizofichwa na kirusi, pia unaziondoa zisiwe marked as system files au archived files kwa hiyo command.

Unakuwa huzioni lakini zipo ktk mfumo mwingine na hata ukiangalia disk volume utakuta imetumika zaidi ya mafaili yanavyo onekana.
 
Pole, hiyo virus nahisi ni randomware, huwa ni ngumu kurudisha mafile kwasababu yanakua encrypted ila kuna website zinasema zinaweza ku decrypt extension kadhaa za encrypted files lakini mimi sijawahi jaribu labda google ujaribu.
 
Hiyo kupandikizia windows ni kitu nilikua nafanya wakati najifunza kuinstall windows.

Kwa sasa hivi siwezi kufanya hivyo.

Now kirusi kipo kwenye Local Disk C ukaamua kuinstall windows kwa kuipandishia kisha akimaliza aingie kwenye Windows old si atakua anakirudisha upya kirusi?
Hakitoweza kurudi kwani kikijaribu kinakutana na Antivirus iko tayari so kinakua blocked automaticaly.

Akimaliza tu kupga window ana update window defender ile ya windows 10 akishapata Green Tick basi ruksa kwenda fungua file lolote ndani ya PC.
Hakuna Virus wa ndani ya PC window defender itamshindwa lakini pia anaweza install Malwarebytes kwangu mimi hii ndio software ambayo siwezi ikosa kwenye mashine yangu.

Naiamini na nina ielewa kupita maelezo kwa upande wangu ndio BEST ANTIVIRUS tangu nizjue antivirus tofaut tofaut.

Malwarebytes Hashindwagi na kitu kwahyo akishaiweka malwarebytes sasa anaenda kwenye windows.old kufungua akiwa anajiamini kbsa atakutana na mafile yake yote na hakuna virus ataefurukuta.

tunapga window juu ya window tunapotaka kuokoa DATA MUHIMU tu hii sio jambo la siku zote ni kwa emergency tu kama iliyomkuta BILGERT
 
Hakitoweza kurudi kwani kikijaribu kinakutana na Antivirus iko tayari so kinakua blocked automaticaly.

Akimaliza tu kupga window ana update window defender ile ya windows 10 akishapata Green Tick basi ruksa kwenda fungua file lolote ndani ya PC.
Hakuna Virus wa ndani ya PC window defender itamshindwa lakini pia anaweza install Malwarebytes kwangu mimi hii ndio software ambayo siwezi ikosa kwenye mashine yangu.

Naiamini na nina ielewa kupita maelezo kwa upande wangu ndio BEST ANTIVIRUS tangu nizjue antivirus tofaut tofaut.

Malwarebytes Hashindwagi na kitu kwahyo akishaiweka malwarebytes sasa anaenda kwenye windows.old kufungua akiwa anajiamini kbsa atakutana na mafile yake yote na hakuna virus ataefurukuta.

tunapga window juu ya window tunapotaka kuokoa DATA MUHIMU tu hii sio jambo la siku zote ni kwa emergency tu kama iliyomkuta BILGERT

Umeassume hakua na anti virus ndiyo maana virus walimpata mara ya kwanza.

Windows defender itakula kila kilichoathiriwa haibaki na kitu kama mpango wake ni apate files zake haiwezekani tena.

Hata hivyo leo ni siku ya pili pengine kashaclear ishu yake
 
Unashauriwa kutolipa ransom.Kuna tools za kufungua files hizo.Ukiformat PC maana ake files zote unazipoteza milele

Nani alikudanganya ukiformat pc file zitapotea milele?

Nikujulishe tu, files zitapotea labda incase hdd imeungua, tena ikawa majivu kabisa!
 
Nani alikudanganya ukiformat pc file zitapotea milele?

Nikujulishe tu, files zitapotea labda incase hdd imeungua, tena ikawa majivu kabisa!
Unatumia file recovery tool gani mkuu?? Ukiformat Hdd na kuinstall new windows/files utaweza rudisha vipi formated files??
 
Back
Top Bottom