Recent content by Master Luke

  1. M

    Vituko vya Mwananyamala: Mtaa kwa mtaa (special thread)

    Mitaa ya maninja pia umesahau broo
  2. M

    Wahenga wenzangu hii gari inakukumbusha nini na wapi?

    Ukiwa dereva wa hili gari hakuna haha ya Kupiga gym maana lazima umande tu
  3. M

    Huyu dogo mayunga kitu gani anakosa kwenye mziki wake

    Hongo nyingi Tz ko dogo kabanwa
  4. M

    Wanawake wengi wenye "CHURA" hamnazo

    Daaaa vijana mko makini na utafiti basi utapanda cheo mda so mfupi
  5. M

    Naomba ushauri; inafaa kumpeleka mwanangu wa miaka 5 shule ya boarding?

    Usimpeleke fanya uchunguzi utagundua kuwa watoto wengi wanabadilika maumbile yao harakati kwa mfano watoto wa kike matiti na matumbo yanaku makubwa kutokana na vyakula wanavyopewa hivyo kunaweza kumsababishia mtoto magojwa ya kisukari na presha
  6. M

    Hosteli za Magufuli chuoni UDSM zimeanza kubomoka. Nini chanzo? Watoto wetu watapona?

    Gographically tunasema Sieralione hiyo na mass movement pale ambapo kani ya uvutano inaelekea kwenye mteremko na kusababisha tope kuporomoka
Back
Top Bottom