Recent content by Masseto

  1. Masseto

    Mkiambiwa kuwa hawa Wanawake tuwapende tu ili tusimkwaze Mwenyezi Mungu, ila siyo Watu wazuri kabisa muwe mnaelewa sawa?

    Offer kubwa ya Wanawake kwa mwanaume ni penz, sidhan kama kuna kingine labda upate lishangaz
  2. Masseto

    Kumbe kuna baadhi ya Sekta Binafsi watu wanaishi kama wako peponi vile

    Dah ni vile tu uwaga sipigagi hesabu ila ukute izo pesa zote za izo secta 26 nazikamata ndani ya miez miwili tu pasipo kujua ktk harakati zangu
  3. Masseto

    Hawa viongozi washauriwe wapumzike

    Mkono mmoja haufanyi kazi
  4. Masseto

    Hivi, uislamu uliwahi kuleta nini?

    Watu hamna shukran, mmesahau TENDE
  5. Masseto

    Msaada tafadhali: Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia Wanawake

    Namkumbuka baba mwenyenyumba wangu miaka kadhaa yalimtokea kama aya, alioa mke mchaga, alikuwa mwajiriwa kwenye kampuni fulani binafsi, Uzeeni yule mke na watoto walimuendesha sana mzee wawatu ad tukawa tunamhurumia aisee, mabinti zake wanamjibu baba yao jibu lolote ata liwe tusi, mwishowe...
  6. Masseto

    Msaada tafadhali: Ofisi za ustawi wa jamii zimegeuka kuwa chama cha kusaidia Wanawake

    Aisee vifo kwa wanawake na kuchomwa moto havitaisha, juzi mwingine amegundua watoto wote watatu aliowalea sio wake baada ya kupima DNA. Ndoa sio mchongo tena, unajichimbia shimo mwenyewe
  7. Masseto

    Mtoto wangu anatokewa na marehemu babu yake

    Mchungaji katengeneza scene
  8. Masseto

    Nakerwa na Hotuba za Viongozi wa Serikali kwa kutumia muda mwingi kulitajataja jina la Samia wakati kuna vitu vya msingi vya kusemea

    Zuchu ametamka maneno kwamba mama samia mitano tena, raia wamemrushia makopo ya maji jukwaani ad kaondolewa na security
  9. Masseto

    Joyce Kiria: Mwanamke kumhudumia mwanaume ni ujinga

    Kwa izo kucha anasafishaje ikulu zake.
Back
Top Bottom