Namkumbuka baba mwenyenyumba wangu miaka kadhaa yalimtokea kama aya, alioa mke mchaga, alikuwa mwajiriwa kwenye kampuni fulani binafsi,
Uzeeni yule mke na watoto walimuendesha sana mzee wawatu ad tukawa tunamhurumia aisee, mabinti zake wanamjibu baba yao jibu lolote ata liwe tusi, mwishowe...
Aisee vifo kwa wanawake na kuchomwa moto havitaisha, juzi mwingine amegundua watoto wote watatu aliowalea sio wake baada ya kupima DNA.
Ndoa sio mchongo tena, unajichimbia shimo mwenyewe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.