Hawa viongozi washauriwe wapumzike

Hawa viongozi washauriwe wapumzike

Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

View attachment 3295515
Jamaa wamechoka na kuchakaa balaa lakini wapi, wamegoma kabisa kukaa pembeni, watafia kwenye viti vyao vya urais.
 
Makamba,Mwigulu, Nape, Silinde, Mavunde, Ndumbaro, Ummy, Dugange, simbachawene, na Lukuvi nk na hawa watoke maan ni wahuni kwelikweli
 
Pichani ni Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda na Swahiba wake kutoka Sudan Kusini wakiwa wanatembea kwa taabu kweli kweli.

Ninawashauri Wazee wangu hawa wapumzike waache vijana waongoze Nchi.

Waige Mfano wa Sleepy Joe wa Marekani aliyeamua kung'atuka kwasababu ya umri.

View attachment 3295515
Apart from being Commanders-in-Chief by virtue of their presidential titles, they are both full generals of their armies who practiced for decades from junior to the highest ranks!

Sio wa mchezo mchezo au wa kubebwa hao! Hizo ngoma achana nazo hizo. Usione nyani nzee imekwepa mamishale yasiyo na idadi.
 
826a99e8e88f451783f332ee68fd1532.jpg
salama leko
 
Hiyo "Angalau" yani nini....wakapumzike wacheze na vitukuu
Madaraka ni kitu kingine. Yanahitaji sheria na kanuni za kuya-control. Bila hivyo ni rahisi sana kumlevya mtu na kujiona yeye ndiye anastahili tu. Ungeambiwa Mbowe aliyekuwa anahubiri demokrasia angetaka kuwa mwenyekiti wa maisha wa Chadema ungeamini?
 
mmoja anatembea kama amemaliza kusimama dede wiki iliopita na mmoja anatembea kama ananyatia nyama jikoni kwa mama mkali
 
Back
Top Bottom