Pale Interchick kuna kibao kinachokuamuru kwenda 50kmph, kama hukukiona ni uzembe wako na hustahili kuwa dereva. Nakushauri fanya safari ndefu kwenda mikoa ya bara ndo utajua vizuri matumizi ya hivyo vibao TODAYS
Hii mada imewagusa wengi sana na wengi wa wanaoshabikia kuendelea kukaa nyumbani bila sababu ya msingi ni Mario watarajiwa na kwa Dar watoto wengi wa Kinondoni, Kijitonyama na Sinza ndo wana tabia hii.
Mbaya zaidi analeta na demu kabisa hadi kwao na wazazi wanamuangalia tu mfyuuu.
Zinapatika mkuu, me nilininua Kariakoo kwenye duka la vifaa vya radio hasa za magari, na nilinunua kwa 45k nilikuwa natumia ila toka walipositisha analogy wakaweka digital nikashindwa kupata decoder na antena au kidish kwa matumizi niliyokuwa nayo. Kama vp njoo inbox
Usithubutu kabisa, wanatumia compounding interest method kama sijakosea ukikopa mil 3 unaweza ukalipa mil 6 au 7 kwa hiyo miaka mitatu. Hao jamaa ni wezi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.