Jf please kuna virangi vya icons watu tuna aleji navyo si muweke rangi za maanaaa lirangi la kijani nani anataka ona kama hako ka online member kamekaa kama rosti tamu la azizi ona na haka si mnatuchefua sisi wengine wekeni mavitu ya maana bana
Kampuni ya uzalishaji na usambazaji wa pembejeo za kilimo na vyakula vya mifugo; tunahitaji afisa masoko na mauzo kama unaweza na unaelimu hiyo weka mawasiliano yako hapa
Kampuni inajihusisha na uzalishaji wa pembejeo za kilimo navyakula vya mifugo, tunahitaji mtu wa mauzo kama unaweza kufanya kazi hiyo weka mawasiliano yako hapa
Nina tatizo sugu la tumbo kunguruma na kujisikia haja kubwa kila mara, je kuna anayejua tiba ama tiba mbadala sababu nimetumia dawa nyingi za hospitali bila mafanikio
wakuu, baba mzazi wa rafiki yangu anaugua cancer ya mifupa kwa muda sasa, familia wamempeleka ocean road naomba kuuliza kwa wanaojua tiba au dawa za kumsaidia atujuze
wakuu ukweli mtoto wangu mwenye umri wa miaka 8 ana tatizo kubwa la kuto kula na hii inatusumbua sana sisi wazazi wake wakuu naomba ushauri ama mwenye kujua tiba atujuze.nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.