Wewe uliyeandika hii maada ndo hujielewi,hv hata huyo msajili wa vyama kama atafuta chama chenye viongoz weng waliochaguliwa huoni kama ni kihiyo?mbona ccm kimevunja sheria nyingi tu,kwanin hakifutwi?ukitaka kuandika kitu humu kwanza jipange!
unaonekana una matatizo ya akili,hv wewe ni nesi?mchumba wa lwakatare au?maana unajua mambo ambayo hata sísi hatuyajui,umetumwa na magamba wenzio nin?kaoge
Asilimia 90 ya watu wenye roho mbaya husababishwa na vyakula,hapa nina maana kwamba watu wengi wenye roho mbaya ni kwa sababu chakula kwao wanaona ni kitu cha maana zaidi kuliko kitu kingine chochote!
Hii imekaaje wadau?
Shida inakuja pale ambapo wewe ni mgeni,mwenyeji uliyemtembelea nyumbani kwake kuna tabia ya kutoka na maji ndani ukiwa unahitaji kwenda chooni,hii namaanisha kwamba chooni huwa hakuwekwi maji
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.