Recent content by masoud mshahara

  1. masoud mshahara

    Majizzo Ndani ya Clouds360 on Clouds Tv February 20

    Wewe utajiri unauchukuliaje?
  2. masoud mshahara

    Namsubiri Diamond Platinumz kwenda Clouds 360 au Kuzungumzia hali ya Ruge Wasafi TV

    Jamani ebu wacheni kukuza mambo kwani huyo Ruge ndio wa kwanza kuumwa? kama Diamond ataona yafaa atazungumza kama aifai ata achana nayo lakini sio kwa kelele zenu
  3. masoud mshahara

    Tukutane jmosi kwa mkandarasi

    Wewe ni jeuri Sanaaaa
  4. masoud mshahara

    George Jonas: Muhandisi maarufu wa Tanzania anayefanya kazi na kampuni ya Boeing ashinda tuzo Marekani

    Kwa mchina mwarabu anataka kurusha ngumi kasahau 5 kabisaaaaaaa ahahahhahahaah
  5. masoud mshahara

    Nandy kwa sasa yuko kwenye mahusiano na Gavana wa Mombasa?

    Ukisha wauliza Omy dimpoz na Ali kiba tunaomba ulete jibu humu
  6. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    Ujatoa mfano wowote wala elimu yeyote ,zaidi ya kuruka ruka kama maharage, ebu tuambie 945 toka lini ikawa sawa na 845? tupime hiyo elimu yako mpya
  7. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    Sisi hatuna tatizo na kuamini sisi tunaamini taurati, zaburi na Injili, wala hakuna tabu , wewe umedai waandishi wa biblia wameongozwa na roho mtakatifu sasa unapotakiwa kuthibitisha yupi asa kweli alitaja idadi kamili ile aliyoiona roho mtakatifu yaani 945 au 845 unaanza kuangaika na vitu...
  8. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    Sawa ndugu yangu mda mwengine tunamuonyesha huyu bwana mdogo tunaweza kupiga miguu yote ikibidi
  9. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    Allah ndio alimiambia kuwa 945=845? ahahahaahhhahhaha uongo wa waandishi wenu na janja janja yao unamsingizia Allah ahahahaah
  10. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    945=845? hizi HESABU umesoma wapi ?ahahahaahhhahhaha ahahahahaahahahha
  11. masoud mshahara

    Zinaa katika uislamu....

    Mungu ameshasema " wamekufuru waliosema masihi mwana wa maryamu ni Mungu" ndio maana unastaajabisha kweli kweli kuja hapa na kusema Mungu kapigwa Makofi na kutemewa mate, ata huyo Yesu ambaye alikua akila na kunya kama wewe Allah amepinga jambo hilo kuwa akufanyiwa la kufanywa kama mdoli...
Back
Top Bottom