Recent content by masonzo

  1. M

    Uchambuzi: Mzunguko wa hela, faida na hasara

    Great economical analysis Ahsante nadhani sasa tuko kwenye right track Kama mbinu za uchumi za awamu zilizopita hazikusaidia twende na hizi basi Ahsante mkuu
  2. M

    Rais Magufuli azindua mpango wa ugawaji wa madawati kwa Majimbo mbalimbali nchini

    Safi sana Jembe au bulldozer limeingia
  3. M

    Dodoma yazingirwa, BAVICHA wawindwa

    Watu waongo jamani full propaganda. Mimi nipo Dodoma si kweli kinachoelezwa hali shwari kabisa na sijaelewa Dodoma ipi inaongelewa
  4. M

    Lowassa akiwafunda Mameya wa UKAWA

    Haya sasa chenyewe si kikao hao wanaojiita bavicha mbona hawajakizuia na wala polisi hawajazuia Mimi si mwanasiasa lakini siasa za ulaghai za ovyo sana
  5. M

    Mkuu anateua Makada wa chama kwenye Ukuu wa Wilaya na Mikoa kufanya siasa kwa mgongo wa serikali

    Hebu rudia tena kusoma maana hujaeleweka kabisa kiswahili chako Unamaanisha wanaccm hawana vigezo au hoja ni nini
  6. M

    Wanaharakati/wanasheria na wazalendo mko wapi uteuzi nafasi za Ma-DAS?

    Hivi nikumbusheni wakurugenzi katika mashirika mbalimbali ni watumishi wa umma Katika awamu zilizopita tulisikia huyu aliacha kazi yake nchi Fulani kuja kutumikia taifa je mchakato huo ulikuwa unakidhi matakwa ya Utumishi wa umma Aachwe Jpm ateue watu anaowaamini ili nchi isonge mbele
  7. M

    Magufuli ajenge CCM upya

    Ujumbe murua kabisa uliotolewa kwa hekima ya hali ya juu Namtakia kheri mtarajiwa mwenyekiti utendaji uliotukuka kama ambavyo anaendelea kulitumikia taifa kwa uadilifu wa hali ya juu na ni imani yangu kuwa atafanya hivyo kwa kuwatumikia watanzania wanachama wa Ccm Nawatakia kikao chenye...
  8. M

    Lowassa mchana wa leo alijikuta akisimamishwa na wanachi waishio mpakani mwa Kenya na Tanzania

    Walisomea Sanaa!!! Si ajabu kutengeneza Kitu kama hicho
  9. M

    Lowassa mchana wa leo alijikuta akisimamishwa na wanachi waishio mpakani mwa Kenya na Tanzania

    Kuna wengine walisomea sana!!!!!!! Si ajabu kutokea hayo maana unasema kasimamishwa baadae ndio inakuwaje sasa?
  10. M

    Serikali/TRA yazitaka Benki kutopandisha viwango vya tozo/ VAT katika miamala yake

    Kabla kulikua na tozo hapo Mimi nimesikiliza wameendelea kusema mlaji wa mwisho hapaswi kuongezewa mzigo wewe unapotosha Hata km utawala huutaki lakini uwe mkweli si kupotosha tena
  11. M

    Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

    Fikiria mtu anakopa pesa kwako kwanini akirudisha unadai riba. Sisi tunaweka pesa zetu benki na wanazifanyia biashara kwanini wasitoe riba? Badala yake wanatukata
  12. M

    Gavana Prof. Ndulu: Benki wapo sahihi

    Hivi si bank zilitakiwa kuwa zinatoa riba kwa mteja anapoweka pesa bank maana pesa yake mabenki yanaifanyia biashara. Kwanini bongo tunakatwa pesa na benki. Nchi nyingine hakuna makato ya kila mwezi. Wasomi wetu waliopewa dhamana ndio wanayatetea mabenki sijui kwanini?
Back
Top Bottom