Great economical analysis
Ahsante nadhani sasa tuko kwenye right track
Kama mbinu za uchumi za awamu zilizopita hazikusaidia twende na hizi basi
Ahsante mkuu
Haya sasa chenyewe si kikao hao wanaojiita bavicha mbona hawajakizuia na wala polisi hawajazuia
Mimi si mwanasiasa lakini siasa za ulaghai za ovyo sana
Hivi nikumbusheni wakurugenzi katika mashirika mbalimbali ni watumishi wa umma
Katika awamu zilizopita tulisikia huyu aliacha kazi yake nchi Fulani kuja kutumikia taifa je mchakato huo ulikuwa unakidhi matakwa ya Utumishi wa umma
Aachwe Jpm ateue watu anaowaamini ili nchi isonge mbele
Ujumbe murua kabisa uliotolewa kwa hekima ya hali ya juu
Namtakia kheri mtarajiwa mwenyekiti utendaji uliotukuka kama ambavyo anaendelea kulitumikia taifa kwa uadilifu wa hali ya juu na ni imani yangu kuwa atafanya hivyo kwa kuwatumikia watanzania wanachama wa Ccm
Nawatakia kikao chenye...
Kabla kulikua na tozo hapo
Mimi nimesikiliza wameendelea kusema mlaji wa mwisho hapaswi kuongezewa mzigo wewe unapotosha
Hata km utawala huutaki lakini uwe mkweli si kupotosha tena
Fikiria mtu anakopa pesa kwako kwanini akirudisha unadai riba.
Sisi tunaweka pesa zetu benki na wanazifanyia biashara kwanini wasitoe riba? Badala yake wanatukata
Hivi si bank zilitakiwa kuwa zinatoa riba kwa mteja anapoweka pesa bank maana pesa yake mabenki yanaifanyia biashara. Kwanini bongo tunakatwa pesa na benki. Nchi nyingine hakuna makato ya kila mwezi.
Wasomi wetu waliopewa dhamana ndio wanayatetea mabenki sijui kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.