Umeongea vzuri dada Ayo maswali yanakera Sana au unakuta umeamua zako kupungua mtu anakuuliza mbona umekonda ivyo unaumwa? Yan Kuna watu hawajui kabisa kucommunicate
Iyo kutoa harufu kali sehemu za siri inasababishwa na P.I.D sikuhizi imekua shida kwa wadada wengi pamoja na fungus sugu Aya magonjwa yanasababishwa na kutoa mimba Mara kwa Mara, kutumia dawa za antibiotics Sana haya madawa ya kuzuia mimba pia namna ya kujisafisha wasichana wengi wanadhani...
Uyo dada na yeye sijui ni shida ndo zimemzidi Sana mpaka anashindwa kutumia akili au ni Nini mi nkikuomba hela Mara moja ukiniambia utanipa siku flani ata iyo siku ikifika sikukumbushi na assume Kama usingekuwepo ningefanyaje Mimi huwezi kunichezea huu mchezo nna jeuri
Kuna mawili hapo kwa mama yako either ni mchawi au Ana matatizo ya akili ameathirika kipsychologia kutokana maybe kipndi unazaliwa alikua kwenye ugomvi mkubwa na baba yako ndo maana anakuchukia na hata ujitahidi kumridhisha vp bado hawezi kukupenda Wala kuona thamani yako wewe deal na Bibi yako
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.