Mpenzi wako anakuvutia akivaa vipi?

Mpenzi wako anakuvutia akivaa vipi?

Kwahiyo wewe ni chura unataka chura tu. Pooh mbaka.

Huwa nikionaga neno chura najisikia kucheka kufaa
..Sipendi chura kihivyo ila mwanamke wangu ni lazima awe na figure flani hivi akijifunga kanga impendeze.

Najua figure hiyo unayo kabisa.
 
Minadhani kungekuwa na vazi lafanana na walleti Lingempendeza ZAIDI...au vazi lafanana na Yale Magari yanayobeba mishahara...
.
Hizi jeans zake za Cadeti mi Wala hazinishtui...
 
Kila mtoko (eneo) na nguo zake,
Mwanamke mzuri anapendeza tu yani hata kwenye dela hadi raha.
 
Mimi huwa sivai suruali navaa sketi na gauni tu but napata wapenzi wanaopenda msichana anaevaa suruali na nakereka haswaa
 
Kuna watu wamejimilikisha jamii forums kiasi kwamba wanapangia watu cha kupost,ieleweke kwamba hii ni forum huru kila mtu ana uhuru wa kupost anachoona kinafaa as long as havunji sheria..hatuwezi kuwa serius muda wote!


Nikirudi kwenye mada..binafsi navutiwa na wale wavaa baibui halafu libane awe na mzigo kwa nyuma,namaanisha maini matupu..! Halafu nione mistari ya kufuri mimi hoi...na hii imechangiwa na huku niliko ukanda wa pwani..
 
Mkuuu...ukiona unashangaa Mambo ya vijana...Ukae TU kwa kutulia..mitazamo kubadilika...huchangiwa na umri pia ..
Kwakweli utu uzima dawa! Basi nikiviona hivo visendo huwa nasema hiii siwezi vaa aisee na tule tubegi tudogo twa mgongoni😀 ila wanaovaa wanapendeza vizuri tuu
 
Back
Top Bottom