Niliahidi kumkopesha Ex, sijampa/sitompa namtesa tu

Niliahidi kumkopesha Ex, sijampa/sitompa namtesa tu

Kama una madem wakali na bado unamuongelea X ni kwamba bado unampenda, usitese nafsi yako Mkuu. RUDI nyumbani kumenoga
Mim nna Ego ya hal ya juu.huwa sirudiag demu hata ajilete vp...naweza hata ingia nae room na nisimfanye chochote.mi jeur mkuu ohooo....

Halaf nikwambie kitu..kumsahau mtu mliekua pa1 mnashare kila kitu had mswak ni kujidanganya..so ni kwel namkumbuka nayeye ananikumbuka vile vile
 
Kama umewahi mpenda mtu kweli kweli no matter what hutokaa umlipize kisasi.
Hakuna mwenye haki ya kisasi. Tunatendwa sana lkn hatujawahi wawekea visasi tuliowapenda. Unawezaje jisikia amani uliyekiri kwamba ulimpenda akiteseka? Kama hauko tayari kumsaidia mwambie tu sina. Hiyo unajiumiza mwenyewe pia. Hakuna binadamu mkamilifu. Sijawahi furahia asilani ex wangu alipoanguka.

UJUMBE:
Usipande miiba kwenye njia ya kwenda kwako. Iko siku utashindwa kurudi ndani kwako. Maisha hubadilika dk sifuri.
Umeongea vzur dada angu...ila upako huo sina..nikikumbuka ya kale
 
Wewe ni mm kbsa mkuu kisasi changu kwa x wangu hakiishi Nna kesi kama hiyo yako namzungusha kila day ili nimkomeshe ajue na yy dunia duara aliniacha kwa dharau sana sa hv mungu anamuonesha na yeye
Ni mwendo wa kutorudi nyuma mkuu..yaan wajifunze
 
Pole hujamove on bado"ukiachwa achika" kwa maelezo yako unaonekana unampenda but ndo ashakuacha na kama unadhani unalipa kikasi unajiumiza roho yako tu
Bado ana maumivu/hasira.
Nanukuu "Hyo fanya wewe kaka.yeye alivyonipiga kibuti ilikua sawa eeeh.." Mwisho wa kunukuu.
 
Unajiona bingwa mwenyewe...!!😀😀 Kazi Kweli kweli
 
Wewe ni mm kbsa mkuu kisasi changu kwa x wangu hakiishi Nna kesi kama hiyo yako namzungusha kila day ili nimkomeshe ajue na yy dunia duara aliniacha kwa dharau sana sa hv mungu anamuonesha na yeye
Tabia za wavulana
 
Bado ana maumivu/hasira.
Nanukuu "Hyo fanya wewe kaka.yeye alivyonipiga kibuti ilikua sawa eeeh.." Mwisho wa kunukuu.
Tatzo mnajifanyaga mmesahau maumivu na kumove on.et hukumbuki hata ubaya mtu aliokufanyia.hyo ni kujidanganya ili uonekane mwamba wakat kimoyo moyo watu wanaumia .ni kujikaza tu.so mim nmesema ukwel..bado inaniuma na ndo kama hvyo namkomesha
 
Ko unanijibu kwa hasira baada ya kukupa makavu,kiukwel umejichoresha mwanaume na visasi kama hivo wapi na wapi,and i guess upo early twenty
Kuwakomesha wanawake sjaanza mim.toka enz enz..nyie mnaowaendekeza ndo huwa mnajiuaga nyie
 
Uyo dada na yeye sijui ni shida ndo zimemzidi Sana mpaka anashindwa kutumia akili au ni Nini mi nkikuomba hela Mara moja ukiniambia utanipa siku flani ata iyo siku ikifika sikukumbushi na assume Kama usingekuwepo ningefanyaje Mimi huwezi kunichezea huu mchezo nna jeuri
 
Back
Top Bottom