Nimeelewa sehemu moja katika uzi wa mtoa mada,
Chama tawala tendeni haki kwa makundi yote ya kijamii bila kujali matabaka,mwisho wa kunukuu
Upendo haulazimishwi bali upendo hushawishiwa ila binafsi sina chama
Fatilia kati ya wanaume na wanawake ni wepi wengi harafu uje ulalame hapa .
Kiushauri tu unataka hadi akwambie kuwa mtafutie mke mwezie
Dawa ongeza mke atafurahi
Fatilia kati ya wanaume na wanawake ni wepi wengi harafu uje ulalame hapa .
Kiushauri tu unataka hadi akwambie kuwa mtafutie mke mwezie
Dawa ongeza mke atafurahi
Hivi kutoka Masasi walikupa lifti? Haiwezekani utoke zako huko ukafikie maskani pa watoto wa mama wanaosubilia ugari kwa mama zao
Hebu jiongeze ingia kitaani kajichanganye wewe acha ulofa
Tunaongezea nyama Uzi
11:Endelea kuwachukia matajiri
12:Endelea kuwasema waliofanikiwa ni masoc
13:Endelea kusubilia hela ya peshen ya babaako
Mengine wataongezea wengine
Binafsi nikifika nyumbani bila kuwaona wanangu nakosa amani kabisa,sasa najiuliza hawa wanao wapeleka huko hivi nyumba inakuwaje? Binafsi siwezi kuwa mbali na wanangu
Ila mikoani kuna rahaa zake hizi shida zote za nini?ndiomaana mimi nikimaliza shughuli zangu mapema sana nadandia daladala hakuna longolongo najichagulia na siti naenda kuutuliza gest hizi shida zote za nini za kuanza kudandia mabega ya watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.