Masodas
Member
- Jun 4, 2018
- 39
- 35
Fatilia kati ya wanaume na wanawake ni wepi wengi harafu uje ulalame hapa .Nimekuwa na tatizo LA kupenda kungonoka kila siku tofauti na mwenza wangu ambaye anataka Mara tatu kwa wiki
Hali hii imesababisha Mimi kutokuwa na maelewano mazuri na bebi mana anaona kama namkera navyodai kila cku tena asubuhi na ucku.nishaurini nifanye nini.
Kiushauri tu unataka hadi akwambie kuwa mtafutie mke mwezie
Dawa ongeza mke atafurahi
