Ni dhahiri Makamba anakomolewa kwa kuponzwa na babaake na Bashe analipwa fadhila ya kumtetea Jiwe. Nchi inaongozwa kwa hisia za mtu binafsi!!? CCM imepoteza dira kwakweli, na chama kitafia mikononi mwa bwana huyu!
kuna maneno nayakumbuka kwenye bibilia pale Yesu alipoambiwa anatoa pepo kwa njia ya pepo (shetani)
Yesu alijibu "ukiona pepo anamtoa pepo mwenzake basi ujue ufalme huo uko karibu kutoweka lkn kwakuwa mimi natoa pepo kwa njia ya Baba aliyenituma basi ujue ufalme wa Mungu umekaribia.
nimetafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.