Recent content by MASHUKE ORIGINAL

  1. MASHUKE ORIGINAL

    PreGE2025 Diamond Platnumz: Fanyeni kazi, acheni lawama, kila awamu, kila uongozi mnalalamika

    Watu wanataka haki, hizo habari za kazi yeye zinamuhusu nini?, amesahau kuwa hata yeye alishawahi kulalamika kukatwa kodi nyingi, ikapelekea mpaka kuchelewesha mishahara pale wasafi?, , yaani kisa uongozi wa sasa anaelewana nao ndio wanaolalamikia uongozi huu waonekane wavivu au? , wasanii...
  2. MASHUKE ORIGINAL

    Polepole kusema ACT wazalendo na CHAUMMA ni Vikaragosi hajautendea Haki Upinzani na kamvunjia Heshima Msajili

    Sio ACT na CHAUMA tu, bali vyama vyote vinavyoshiriki uchaguzi wa mwaka huu ni vikaragosi na na si vibaya tukiviita kwa jina la CCM B. Uchaguzi wa serikali za mitaa wa 2019 na wa 2024 pia uchaguzi mkuu 2020 unakupa picha ya wazi kuwa uchaguzi kwa sasa ni wizi mtupu. Nilitegemea vyama vyote vya...
  3. MASHUKE ORIGINAL

    Humphrey Polepole: Rostam ni mfadhili mkuu wa wanamtandao, alipora 'Channel Ten', kauziwa kihuni mgodi wa Makaa ya Mawe na Serikali

    Hii nchi hii, inaliwa vibaya mno, na wahuni wachache tu, Mwenyezi Mungu tuokoe na huu uhuni unaoendelea nchini.
  4. MASHUKE ORIGINAL

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    Wewe ndo utulize ukilaza wako, mpumbavu mkubwa.
  5. MASHUKE ORIGINAL

    Wasomi wa Tanzania wengi, hawana uwezo wakushindana kimataifa kwakuwa Elimu yao ni ya maelekezo na ya kukariri .

    Huyo Dr Kimei ana uhodari gani kwenye banking and finance?, haukumbuki madudu ambayo benki ya Crdb iliyafanya kipindi chake kwenye kashfa ya EPA?, CRDB ya Kimei iliongozwa na lobbying nyingi sana. Kiufupi kimei kwangu hakuna lolote, labda kidogo Dr Dorothy Gwajima.
  6. MASHUKE ORIGINAL

    inatia simanzi: Conclusion by hon Lissu

    Hivi hawa majaji na mahakimu wa sasa wataacha Legacy ipi?, wanaiua taasisi ya mahakama taratibu unajua tatizo letu sisi watanzania ni ubinafsi tu, leo hii tuna mashirika na taasisi nyingi zilikufa hapa Tanzania kwa sababu ya watendaji wake kujiangalia wao wenyewe na sio kuongozwa na maono, ni...
  7. MASHUKE ORIGINAL

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Leo naona timu inacheza kitimu kabisa, hatujapata goli mpaka sasa hivi half time ila najua tutashinda. Halla madrid.
  8. MASHUKE ORIGINAL

    GE2025 JNICC: Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa, Inatoa Mafunzo ya Sheria ya Gharama za Uchaguzi, Kwa Viongozi wa Kitaifa wa Vyama vya Siasa

    Hiyo ofisi ya msajili ni tawi la CCM ndo maana na wewe Paschal umehudhulia hicho kikao cha chama chenu, hakuna msajili wa vyama vya siasa hapa Tanzania, ni utapeli mtupu.
  9. MASHUKE ORIGINAL

    Mahakama yakataza rasmi Vyombo vya Habari kurusha live au kuripoti kesi ya Lissu

    Hakuna mahakama siku hizi. Sasa hivi hata ukiwa na ishu na mtu bora ujichukulie sheria mkononi tu, polisi na mahakama ndo taasisi za hovyo kuliko zote serikalini.
  10. MASHUKE ORIGINAL

    KERO Wakazi wa Mwanza eneo la Isamilo hatuna maji takriban wiki nzima, Serikali iangalie suala hili kwa umakini

    Ishu ya maji imekuwa kero hapa Mwanza ni takribani wiki nzima sasa maji yanatoka kwa kusua sua.
  11. MASHUKE ORIGINAL

    Hatimaye Ronaldo amvisha pete GF wake wa muda mrefu Georgina. Je, amejifunza yaliyomkuta Birdman kwa Toni Braxton?

    Women of nowadays are very dangerous and hard to deal with, in short they are very complex in nature. CR7 should be warned.
Back
Top Bottom