heshima mbele wakuu,
naombeni msaada wa mawazo, eti mimba hutungwa siku gani maana kuna masela wananiambia ni siku ya kumi adi kumi na nne, wengine wanasema siku ya 10 hadi 17?
msaada wenu tafadhali juu ya ili swala
ukiona PIN CODE wala usiwaze jua tuu tayar ufisadi wa mapenzi umeanza na ukitaka moto uwake na we weka PNI CODE, ndio utajua mkuki kwa nguruwe............mi huwa sipotezagi muda nikiona pin tu nami naweka,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.