Recent content by masho

  1. M

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    thanx preta naangalia now
  2. M

    Tarehe/siku nzuri kwa mimba kuweza kutungwa

    heshima mbele wakuu, naombeni msaada wa mawazo, eti mimba hutungwa siku gani maana kuna masela wananiambia ni siku ya kumi adi kumi na nne, wengine wanasema siku ya 10 hadi 17? msaada wenu tafadhali juu ya ili swala
  3. M

    knock knock

    ur er welcome
  4. M

    I Want to Die Before my Wife...................

    teh teh teh duh! thanx 4 make me laugh
  5. M

    Kwa nini bei Tofauti!

    mmmmmh! hiii kali, nyc day all
  6. M

    pin code kwenye simu....

    ukiona PIN CODE wala usiwaze jua tuu tayar ufisadi wa mapenzi umeanza na ukitaka moto uwake na we weka PNI CODE, ndio utajua mkuki kwa nguruwe............mi huwa sipotezagi muda nikiona pin tu nami naweka,
  7. M

    Jamani naomba msaada wenu haraka...

    mmmh! endaikawa alikuwa amechoka sana hata kufungua mlango akashindwa, ila kama ni kweli ya mekukuta pole ssana
  8. M

    Kutongoza ni Haki ya Kiumbe wa Kiume tu?

    hongereni kenya kwa maendeleo,
  9. M

    Kwanini wahindi wanapenda sana Madafu?

    jamni kanumba sio msukuma tena keshakuwa kuchkuch otaeee? keep it up
  10. M

    Wivu wa mapenzi wasababisha majeraha!!

    dada kimbia kadri uwezavyo katili huyo, mapenzi ya kupgana nani anayataka, ataja kutoa roho hulo na magonjwa ya ajabu
  11. M

    mambo ya wekend..........jamani ushauri unahitajika

    wanaume wa kibosho ni wakali sana, ukizingatia tena na kosa la huyo bibie lazima kufikiria mara mbilimbili,
  12. M

    Wakuu Msaada jamani

    kamuone daktar
  13. M

    mambo ya wekend..........jamani ushauri unahitajika

    namaanisha ni kabila la wachaga from kibosho
Back
Top Bottom