futikamba
JF-Expert Member
- Jan 18, 2010
- 243
- 13
Hi Wana JF,
Nna mpenzi wangu ambaye tupo wote kwa miezi 7. Tunapendana sana. Tatizo ni moja,hatuishi kugomanbana na kupigwa jamani. Yaani tukigombana kidogo tu, mwanzangu anatumia ubabe kunipiga. Na hili linatokana na wivu alionao mpenzi wangu. Ana wivu kupita kiasi, wivu huu unasababisha hadi shughuli za kimaendeleo zinadoda. Juzi tumegombana sana mpaka kupigana. Kisa, ni kama wiki tatu zilizopita, nilifuma message za wanawake 5 tofauti kwenye simu yake wote wakiwa wapenzi wake. Nikagombana nae sana mpaka kuachana. Ila tulikuja tukapatana kama baada ya wiki na nusu hivi since aliniomba sana tusiachane. Anayway, nikamkubalia. Sasa, siku moja akapekua simu yangu akakuta nimeandikiwa message na bosi wangu kwamba nikipata muda nimtafute. Sio personal!! Yeye akamtukana kweli-kwa simu na sms. Mi siku hiyo sikutaka ugomvi, nikanyamaza tu lakini nilikuwa naumia kweli kwa ndani. Sasa juzi tukakorofishana kitu kidogo mi nikamuuliza kwanini alimtukana boss wangu? And anaelewa kabisa huyo ni boss, nikikosa kazi atanisaidiaje?? Na kusema kweli hanisaidii hata shopping ya kula tu. Yaani yeye gharama yake ni pale anapohitaji kunanilii nd'o pesa itamtoka. Alikuja kwangu juzi usiku kanikuta nimelala, akaanza kunigombeza na kunipiga. Kweli nilipandwa na hasira, nikampiga na chupa ya kichwani. Ameshonwa nyuzi za kutosha. Sijawahi kufanya kitendo hicho maisha yangu yote, hii imetokana na hasira na najutia kweli. Huyu mpenzi ananifaa kweli? Yaani, sijaelezea yote.... ningejaza kurasa tatu hapa ila kwa kifupi nipo kwenye stress ya hali ya juu. Mi mwenyewe nna nundu kichwani. Yeye ana donda. Inaniuma kumpiga kiasi hicho, lakini yeye nd'o anasababisha kila siku tunagombana kwa sababu ya wivu wa vitu vidogo vidogo tu. Nipeni ushauri watu wenye busara.....
Nna mpenzi wangu ambaye tupo wote kwa miezi 7. Tunapendana sana. Tatizo ni moja,hatuishi kugomanbana na kupigwa jamani. Yaani tukigombana kidogo tu, mwanzangu anatumia ubabe kunipiga. Na hili linatokana na wivu alionao mpenzi wangu. Ana wivu kupita kiasi, wivu huu unasababisha hadi shughuli za kimaendeleo zinadoda. Juzi tumegombana sana mpaka kupigana. Kisa, ni kama wiki tatu zilizopita, nilifuma message za wanawake 5 tofauti kwenye simu yake wote wakiwa wapenzi wake. Nikagombana nae sana mpaka kuachana. Ila tulikuja tukapatana kama baada ya wiki na nusu hivi since aliniomba sana tusiachane. Anayway, nikamkubalia. Sasa, siku moja akapekua simu yangu akakuta nimeandikiwa message na bosi wangu kwamba nikipata muda nimtafute. Sio personal!! Yeye akamtukana kweli-kwa simu na sms. Mi siku hiyo sikutaka ugomvi, nikanyamaza tu lakini nilikuwa naumia kweli kwa ndani. Sasa juzi tukakorofishana kitu kidogo mi nikamuuliza kwanini alimtukana boss wangu? And anaelewa kabisa huyo ni boss, nikikosa kazi atanisaidiaje?? Na kusema kweli hanisaidii hata shopping ya kula tu. Yaani yeye gharama yake ni pale anapohitaji kunanilii nd'o pesa itamtoka. Alikuja kwangu juzi usiku kanikuta nimelala, akaanza kunigombeza na kunipiga. Kweli nilipandwa na hasira, nikampiga na chupa ya kichwani. Ameshonwa nyuzi za kutosha. Sijawahi kufanya kitendo hicho maisha yangu yote, hii imetokana na hasira na najutia kweli. Huyu mpenzi ananifaa kweli? Yaani, sijaelezea yote.... ningejaza kurasa tatu hapa ila kwa kifupi nipo kwenye stress ya hali ya juu. Mi mwenyewe nna nundu kichwani. Yeye ana donda. Inaniuma kumpiga kiasi hicho, lakini yeye nd'o anasababisha kila siku tunagombana kwa sababu ya wivu wa vitu vidogo vidogo tu. Nipeni ushauri watu wenye busara.....