Tut
Tutajie hao viongozi waliokejeliwa kwenye hyo nyimbo,na ututhibitishie
Serikali haifanyi kazi na umbea wa kwenye mitandao yakijamii hvyo huo niumbea wako tu.
Ni hayo tu ulioyapata kutoka kwenye clip ya nyerere?
Je ni ushahidi upi unaonesha kwamba makonda kawahonga wasanii wa dawa za kulevya?
Ni ushahidi upi unao onesha kuwa Makonda kawahi kumtongoza Wema?
Je ni ushahidi upi unao onesha Steve kupigwa stop na Makonda?
Je hao viongozi waliotajwa...
Kumbuka kuwa Uongozi ni kipaji, ni uwezo, ni utashi,na kufeli masomo sio kufeli maisha na kufeli masomo haimaanishi kuwa huwez chochote katika ulimwengu huu,wangapi wamefauru huko nyuma kwa udanganyifu na mbele huko wakafeli? na ukifuatilia wengi waliofeli huko nyuma nakujiendeleza ndio...
Pamoja na kutumia nguvu kubwa ya Wasanii wee unadhani iliwasaidia nn? kama unahisi iliwasaidia wasingekuwa na haja ya kutumia njia mbadala,hapa chadema wanazidi kujichafua na kujiua kisiasa mwanzo walijiziba midomo wenyewe baada yakumpokea yule waliyekuwa wakimtuhumu wao wenyewe kuwa fisadi...
Hv wee umetoboka akili ama nn mtu mzima na ndevu za ulimi unashindwa kutofautisha jambo la kiserikali na jambo la kiChama? EDO ni Waziri mkuu mstaafu wa Tanzania co wa CCm,hakuteuliwa na CCM kuwa waziri mkuu aliteuliwa na Serikali hyo CCM yako ilimpa ridhaa yakugombea Ubunge co Uwaziri Mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.