Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

Nape amezuiwa, ujumbe umewafikia

kama namwona nape akiungama kwa lowasa.

lakini nape ni muungwana juzi kati aliomba radhi watanzania wote aliowakwaza huko nyuma.
hilo tu limenifanya nimkubali
Wapo wengi wa kumsaidia Nape kwani watanzania wengi hasa CCM wamekerwa na Ushikaji wa wasukuma wawili wanaoivuruga Nchi kwa kugawa Tenda za mabilioni kwa GSM kimya kimya.
 
With people of this type in this country..the bright future fr Tz s far to be reached, peoples mindset s mud!
..oh yah....the bright future for Tanzanians can never be attained under the type of leadership we have now....this type of leadership is driving every Tanzanian mud....i wonder if you are aware of this....seems you are not....because you are benefitting from the unjust and filthy status quo....
 
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.

Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.

Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.

Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mh raisi alisema anaondoa makundi ila matendo yake naona ndiyo anajenga makundi kwa nguvu sana kipind hiki
 
Kuna Ufisadi mkubwa unakuja huko mbele dhidi ya GSM maana wanapewa Tenda nyingi kimya kimya pasipo kufuata utaratibu wa kupata tenda, kwa sasa Nape anajipanga ataanika moja baada ya lingine safari hii lazima Daudi anyee debe hata kama msukuma mwenzake anamkumbatia.
 
..oh yah....the bright future for Tanzanians can never be attained under the type of leadership we have now....this type of leadership is driving every Tanzanian mud....i wonder if you are aware of this....seems you are not....because you are benefitting from the unjust and filthy status quo....
Stop deaming..wake up, leadership..what s leadership to give you a plate of rice while sitted, where did just has given you food..show! just to insult people s that what you want..
 
Mzee Tupatupa, hivi kwa nini hutoki huko Lumumba? Mboana huwafananii kabisa wakina Lizaboni and the likes ambao hao hawana muda wa kufikiri zaidi ya kushabikia?

Nashauri abaki huko huko kwa shughuli hiyo maalum.
Ni kiungo muhimu sana..!!
 
Japo siungi mkono madawa ya kulevya pia siungi mkono utaratibu uliotumiwa na makonda pia siungi mkono uvamizi wa clouds pia siungi mkono rais anavyomlinda wakati ana vyeti feki pia siungi mkono kutumbuliwa kwa nape

Pia siungi mkono kilichotokea hahahahahahahaha DAB !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Wakulaumiwa ni Nape mwenyewe:Tulimshauri kuwa kwakuwa jpm si kiongozi bali ni mtawala hivyo yeye kama katibu wa itikadi na uenezi wa ccm ahakikishe jpm hapewi lungu la kuwa mwenyekiti wa ccm kwani atawavuruga wao ccm na kuvuruga nchi lakini hakusikia.Pia tukamshauri kipindi cha bunge maalum la katiba kuea awashauri ccm wenzake waikubali katiba pendekezwa ya Warioba iliyojaa maoni ya wananchi likiwemo la kumpunguzia raisi madaraka nalo akapuuza wakati alikuwa na ushawishi ndani ya ccm.Sasa matokeo yake jpm anaivuruga ccm pamoja na nchi bila mtu wa kumzuia
 
Stop deaming..wake up, leadership..what s leadership to give you a plate of rice while sitted, where did just has given you food..show! just to insult people s that what you want..
...insults!!..is this what you call insults!!....cmon!! i'm talking of the reality here and not insults....your leadership promised a lot to people when they begged for their votes...and now they are not delivering....instead what we see now is people being punished for being just....and others being protected after having broken the laws of land.....now when we decry this impunity you call it insults!!.....you must be insane....
 
it is trully fun how decision they had made will now cost them . They can now have a taste of life and hopefully others will learn nobody has a permanent seat.

[HASHTAG]#RIPFREEMEDIA[/HASHTAG].
 
Mnawataja watu mliowatongoza wakawakataa, mnawataja watu mliokuwa na visasi nao, mnawataja watu waliokataa kufanya kazi mlizowatuma, mnafanya maigizo halafu mnasema mnapigana vita ya madawa ya kulevya.

Roho inaniuma na najutia kura yangu niliyopoteza 2015.


Mungu saidia tufike 2020.

Kikwete :wauza madawa wana nguvu wamo wanasiasa pia maaskofu nikiwataja nchi hii inatikisika
Magufuli :vita hii hakuna kuangalia brand wala Jina wala Sura
Makonda :tumeamua kuanza hii vita ni kama kumwagia mafuta kwenye shimo kila nyoka atatoa kichwa
MWISHO. JIONGEZENI
 
Nikitoka, mtapataje mambo ya huku?

Mzee Tupatupa
Mzee Tupatupa,
Kwa kazi aliyofanya Nnape na Kinana kabla ya Uchaguzi na wakati wa Kampeni za kumnadi Sijonze huwezi amini katumbuliwa kwa kosa ambalo hata halipo!!!I don believe this!!!
 
Wakulaumiwa ni Nape mwenyewe:Tulimshauri kuwa kwakuwa jpm si kiongozi bali ni mtawala hivyo yeye kama katibu wa itikadi na uenezi wa ccm ahakikishe jpm hapewi lungu la kuwa mwenyekiti wa ccm kwani atawavuruga wao ccm na kuvuruga nchi lakini hakusikia.Pia tukamshauri kipindi cha bunge maalum la katiba kuea awashauri ccm wenzake waikubali katiba pendekezwa ya Warioba iliyojaa maoni ya wananchi likiwemo la kumpunguzia raisi madaraka nalo akapuuza wakati alikuwa na ushawishi ndani ya ccm.Sasa matokeo yake jpm anaivuruga ccm pamoja na nchi bila mtu wa kumzuia
Watu wanaenda zambia malawi kupata Siri ya Rais kuugua ikulu ili waombe kwa mungu atende muujiza
 
Kwa 'kutumbuliwa' kwa aliyekuwa Waziri wa Habari Nape Nnauye ni dhahiri kumzuia asiikabidhi Ripoti ya Kamati Maalum ya kuchunguza uvamizi wa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Daudi Albert Bashite alias Paul Makonda. Ni kwakuwa Nape aliahidi wananchi kuwa ataikabidhi Ripoti hiyo, akiwa kama Waziri, kwa Waziri Mkuu, Makamu wa Rais na kwa Rais.

Mdogo wangu Nape Nnauye, historia itakulinda. Umetekeleza wajibu wako. Ujumbe uliopo kwenye Ripoti walishaupata. Ujumbe ulishawafikia. Anayelindwa na anayewindwa wote watakatazwa na muda. Muda utaamua. Nape, umeponzwa na kuwa 'kiongozi'. Ulipaswa kuwa mtawala. Pole.

Kwa kazi kubwa uliyoifanya na Komredi Kinana, hukupaswa 'kutumbuliwa' kirahisi hivyo. Unatumbuliwa kwa kutenda kazi yako? Kisa ndiye huyu DAB alias PCM? Inasikitisha. Lakini, yote ni maisha. Kubali kilichotokea na uwatumikie wananchi wako wa Mtama. Nasema tena, amini nawaambia, Nape atalindwa na historia katika kutetea tasnia ya habari.

Mwafaaaaa!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
hangaikeni tu. kazi yenu kuunda upinzani ndani ya familia wakati wote baba yenu ni mmoja. mnafahamika na HAMTAFANIKIWA
 
Mzee Tupatupa,
Kwa kazi aliyofanya Nnape na Kinana kabla ya Uchaguzi na wakati wa Kampeni za kumnadi Sijonze huwezi amini katumbuliwa kwa kosa ambalo hata halipo!!!I don believe this!!!
Mali ya mungu a.k.a. Makonda kampelekea msukuma list kubwa ya mawaziri wa kutumbuliwa mda si mrefu utasikia mabadiliko mengine.
 
...insults!!..is this what you call insults!!....cmon!! i'm talking of the reality here and not insults....your leadership promised a lot to people when they begged for their votes...and now they are not delivering....instead what we see now is people being punished for being just....and others being protected after having broken the laws of land.....now when we decry this you call it insults!!.....you must be insane....
You can decide to be fo.o.olish, ts still ok..what promise, mention..this s the second year out of 5 think! bt those having eyes to see and gauge the difference from the previous phase have a lot to testfy, it should not necessarily be you..bcs it depends with the way you define your live, your future and taking actions for your wellbeing. people will continue be punished dont even ask, tell them to stop doing wrong, dont ask why punished..time for laissezes faire leadership and jokes has gone..dont even dream it will not come back..most of you sounds victims of decisions from this regime..dont write driven by hate and envy..put up your brain for your own development! keep time..
 
Ngoja mzee wa cheti cha kuzaliwa aje hapo wizarani, waandishi wa habari wote lazima wawe na vyeti vya kuzaliwa.

Hapa nahesabu tu muda wa katibu mkuu, naye atakuwa out muda si muda.
 
Back
Top Bottom