Recent content by mashimbamang'oma

  1. M

    Hii ni aibu kwa bunge na Taifa kwa ujumla...

    Hii ni aibu kwa taifa... Badala ya bunge kujadili hatma ya wananchi wao wabungee waccm wanaonyesha upuuzi wao hadharan kwa kumzawadia hela mpuuzi mwenzao mwigulu nchemba.. Hivi kweli tumefikia hapa? Mtu badala ya kuchangia hoja katika bajeti anatoa mipasho alafu mwisho wa siku tunamchangia hela...
  2. M

    John mnyika umesema ukweli tupu....

    "TUMEFIKA HAPA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAIS KIKWETE,KWA UZEMBE WA BUNGE, NA KWA SABABU YA UPUUZI WA CCM". Kikwete asingekuwa dhaifu angeweza kusimamia sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania.. Kwa udhaifu wake ndio unafanya kuwa maisha bora kwa kila fisadi... Report ya CAG ni jibu la...
  3. M

    Wabunge wa CCM wamuhakikishia Waziri wa Fedha kuwa bajeti yake itapita

    Budget itapita kwa upuuzi wa ccm... Na uzembe wa bunge...
  4. M

    JOHN MNYIKA: Msimamo wangu wa sasa juu ya Kauli yangu bungeni!

    "TUMEFIKA HAPA KWA SABABU YA UDHAIFU WA RAIS KIKWETE,KWA UZEMBE WA BUNGE, NA KWA SABABU YA UPUUZI WA CCM". Kikwete asingekuwa dhaifu angeweza kusimamia sera yake ya maisha bora kwa kila mtanzania.. Kwa udhaifu wake ndio unafanya kuwa maisha bora kwa kila fisadi... Report ya CAG ni jibu la...
  5. M

    Mwigulu Nchemba: Mbowe anamlipia mtoto wake chekechea tu dola 15.000 kwa mwaka

    Nashukuru kwa Report yako Gamba. Mim naomba nijiulize maswali yafuatayo, kwanza hiyo chekechea anayosoma huyo mtoto ipo nchi gani? Pili kama ni Tanzania, je serikali ya magamba haioni kama wao ndio tatizo kuruhusu ada ya shule ndani ya nchi yetu kulipwa kwa dola? Na je kama shule ambazo zina...
  6. M

    mgombea urais wa Kenya ni lazima pia kugombea na ubunge kwa wakati huo huo?

    Si kweli.. Rais si mbunge na wala haingii bungeni..
  7. M

    Wananachi wa Arumeru Mashariki wanaulizia ahadi ya Mbunge wao kushusha bei ya sukari

    Jaman achen kututukana wana Arumeru.. Mbunge wetu hajawah kutuahidi kitu kama hicho... ,meru sio nchi ni jimbo halina kiwanda. Kuna mambo ya kijamii tuliyo aidiwa kama Maji, hospital na ardhi. Swala la sukari ni unafki tu wa Magamba.. Watu wa Arumeru tuna akili ya kutosha hatuwez danganywa kama...
  8. M

    Wananachi wa Arumeru Mashariki wanaulizia ahadi ya Mbunge wao kushusha bei ya sukari

    Jaman achen kututukana wana Arumeru.. Mbunge wetu hajawah kutuahidi kitu kama hicho... ,meru sio nchi ni jimbo halina kiwanda. Kuna mambo ya kijamii tuliyo aidiwa kama Maji, hospital na ardhi. Swala la sukari ni unafki tu wa Magamba.. Watu wa Arumeru tuna akili ya kutosha hatuwez danganywa kama...
  9. M

    LWAITAMA aunguruma juu ya WARAKA wa LEMA kwa Rais Jk!

    Lema ni special One katika siasa za bongo... Wakitokea watu kumi kama hawa hapa Tanzania... Hii nchi ingeiva... Ila naamin akitumika vizuri huyu mmoja tuliyenaye lazima ipo siku tutamkumbuka kwa jitihada zake... Ndio maana Arusha huwezi kusema lolote juu ya Lema.. Anapendwa na anaishi maisha ya...
  10. M

    Nani mwanasiasa unaependezwa naye,ungependa awe role model wako TZ?

    Prophet Godbless lema... Huu jamaa ni jembe.. Napenda sana anavyojiamin na alivyojasiri... Mpenda haki... Namkubali sana huyu kamanda...
  11. M

    January Makamba na Nape Nnauye on Jenerali Ulimwengu on Monday

    Wanatumikia fadhila walizolipwa kutokana na jitihada za wazazi wao kukitumikia chama...
  12. M

    Mwenye upeo ataelewa...m4c daima

    MTU MWENYE AKILI TIMAMU HAWEZI KAA NA KUSOMA CHADEMA NI CHAMA CHA UKANDA FULAN AU KABILA FULAN AU DINI FULAN... KILA JAMBO LAZIMA LIWE NA CHIMBUKO NA MWANZO WAKE... PIA LAZIMA KWENYE SIASA KUWE NA NGOME... KASKAZIN, KANDA YA ZIWA NA NYANDA ZA JUU KUSIN NI NGOME YA CHADEMA... TUMEBAKIZA MASHARIKI...
  13. M

    Ongea siasa uikomboe nchi...

    M4c...kwa tulio vyuon na wotee tuliofunguka.... Tumia muda wako mwingi kuongea siasa... Kama ni ubraza men tinga hata skaf ya peopless.... Sio mbaya ukimnunulia dem wako vitu vyenye nembo au ujumbe wa peopless... Mkiwa out,kwenye haice,chumban, viwanja ongea siasa uone kama hujawa kati ya waleta...
  14. M

    Ole millya kutua ndani ya jimbo la lushoto alhamisi tarehe 24/05/2012

    Kamanda Hongeri kwa kuandaa huo mkutano.. Pia ikiwezekana Mwombeni Millya aje na Diwan aliyejivua Gamba Mawazo na Ally Bananga... Hawa watu watawapen chakula cha akili... Hakika mtapikwa na mtaiva... Last week Alhamis walitulisha hapa IAA hakika kila mtu aliondoka pale na kitu... Ikiwezekana...
  15. M

    List ya Waliomwagwa Uwaziri+Unaibu

    Umemsahau Mwanri mkuu
Back
Top Bottom