Hii ni aibu kwa bunge na Taifa kwa ujumla...

Feb 21, 2012
53
23
Hii ni aibu kwa taifa... Badala ya bunge kujadili hatma ya wananchi wao wabungee waccm wanaonyesha upuuzi wao hadharan kwa kumzawadia hela mpuuzi mwenzao mwigulu nchemba.. Hivi kweli tumefikia hapa? Mtu badala ya kuchangia hoja katika bajeti anatoa mipasho alafu mwisho wa siku tunamchangia hela kama hadija kopa,offside trick na mzee yusufu tunavyowachangia wakiwa wanatumbuiza ukumbini? Hii ni aibu sana kwa taifa.... Embu tukumbuke tulipotoka... Walikuwa wazee wa kupiga makofi na ndiooo kwa kila jambo linaloletwa bungeni, wakawa wazee wa kuzomea watu wanapofanya maamuzi yenye tija kwa taifa... Ila mkutano wa mwezi wa nne wa bunge waliamka wakawa watu wa kutoa hoja.. Hapo ndipo walipozaliwa kina deo flikunjombe na saini 70 za kutokuwa na iman na waziri mkuu... Ila baada ya kupewa semina na chama chao wameamua kuwa watu wa mipasho na maigizo bungeni... Mpaka kutuzana bungeni... Kweli watanzania hawa ndio viongozi tunao waitaji?
 
haya maneno ya msigwa yana umuhimu sana aliyarudia jana wakati anachangia bajeti.
( Mhe Peter Msigwa ) mbunge wa iringa (Tarehe 23 Aprili, 2012)
Mheshimiwa Spika, mwanafalsafa mmoja anasema insanity is keep doing the same thing in the same way, yaani uendawazimu ni kufanya jambo lile lile kwa njia ile ile huku ukitegemea matokeo tofauti. Tunasema yale yale, yanafanywa kwa namna ile ile, tunamaliza kodi za wananchi hapa, lakini hakuna kinachotokea. Why? Kwanini tupoteze muda wa wananchi, tupoteze kodi za wananchi hakuna kinachobadilika?
Mheshimiwa Spika, mengi tumeyazungumza katika taarifa yetu,lakini nilitaka nianze kwanza kwa kutoa nukuu ya mwanamahesabu mmoja anaitwa Albert Einstein anasema: "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them." Wabunge wenzangu, kwa tafsiri isiyo rasmi sana, matatizo makubwa tuliyonayo leo hayawezi
kutatuliwa kwa mtazamo wa fikra zile zile tulizokuwanazo wakati tunatengeneza au kuyasababisha hayo matatizo
 
hakika nimeamini lenye mwanzo halikosi kuwa na mwisho na huo ndio mwisho wa ccm kama uongo subiria 2015 majibu utapata jibu
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom