Ujasiri na msimamo uliooneshwa na baadhi ya wabunge wa CCM limeendelea kuchukua picha mpya baada ya Mbunge Kijana Easter Bulaya kuonyesha msimamo wake endapo kama Serikali haitochukua hatua stahiki kwa wahusika wa kashfa ya Escrow atawahamasisha vijana na kina mama wanaotaabika kiuchumi, kielimu...
Ni juzi tu nimepokea e-mail inayonijulisha kuwa nimepita kupewa kazi ya kujitolea na hawa Youth Awareness Program walioweka tangazo lao zoom. Tangazo lilihitaji wato 70 na baada ya kutuma CV wamerudisha majibu kuwa nimefaulu ila tatizo linakuja kwenye kutaka wapewe 50000 kwa ajili ya...
Habari kuandikwa na chombo kimoja isiwe utetezi, hajui kuna kitu kinaitwa SCOOP? Kama ni taarifa ya uchunguzi alomwambia itahusisha vyombo vingine ni nani? Asijitetee kwa kuvipamba vyombo vingine vya habari... Kama ipo ipo tu Mheshimiwa
Nimekuwa mtumiaji mzuri wa Airtel Money kwa muda. sasa tangu walipokuja na slogan yao ya HAKATWI MTU HAPA, nimeshawahi kutumiwa pesa wakailamba hapohapo nilipouliza nikaambiwa tatizo lako linashughulikiwa ndani ya saa 24 itarudi na sasa mwezi unafika mwisho wa siku naambiwa eti hela haionekani...
Hivi ni kweli kuwa hawatachukua Graduates waliomaliza mwaka huu? Maana kuna watu tayari washavumisha kuwa watachukua tu graduates waliomaliza 2012 kurudi nyuma... Any assurance please...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.