mwakilyambiti
Member
- Sep 14, 2012
- 20
- 6
mimi ni mdada natafuta rafiki aliyetayari tafadhali tuwasiliane,dini yoyote,umri kuanzia 35-40.mengineyo tuingie chemba
mimi ni mdada natafuta rafiki aliyetayari tafadhali tuwasiliane,dini yoyote,umri kuanzia 35-40.mengineyo tuingie chemba
Ukishafikisha post 5 ni PM namie nataka urafiki na wewe mie nipo Arusha na pia napatikana DSM kila mwisho wa mwezi kwa wiki 1.
Describe yourself
Ayaaaaa, with that age limit, am out.
ukishajiunga tu hapa tayari wewe ni rafiki yetu!
sasa hebu fafanua zaidi urafiki huo bhana! kama vp we tupia e-mail watu tujaribu bahati!