Recent content by MASH ABDULRAHMAN

  1. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka Mahakamani kesi ya Mkulima : "Hoja tatu nzito" za Tanzania zabainishwa

    Write your reply...ndio unye kama umebanwa sana
  2. M

    JamiiForums Tanzania Musiba gusa sehemu zote ila ukijaribu kwa JK utajua CCM ina wenyewe

    Hiki cha Arusha kabisa, nakushauri ukavute cha Ludewa akili yako itakaa sawa.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Simama na Rais Magufuli kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo: Hatuwezi kuuza ardhi yetu vipande vipande kwa wageni

    Mko wengi kweli mnaofikiri kwa kutumia matako, tufanye kuwa hauna uwezo wa kufikiri basi hata kuona tu ni tatizo jitahidi basi usikilize. Manina zenu
  4. M

    JamiiForums Tanzania Justine Kasusura: Mtanzania aliyefungwa "kwa kupiga pesa ndefu" ktk historia ya Tanzania na kisha kupangua kifungo bila wakili Mahakama ya Rufaa!!

    Wakati unamalizia kitabu chako usisahau kurekebisha thamani ya pesa alokwapua kwa uwiano na TShillings. Usisahau kuwa USD1.00 ilikuwa ni TZS810.00, kwa rate hiyo hauwezi kupata 4.4billion, hauwezi kusimulia tukio la miaka kumi na kenda kama limetokea jana
  5. M

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Serikali ya Magufuli: Unaokoa milioni 200 za Rangi ya Ndege na kuisababishia Serikali hasara ya Bilion 200

    Haya ndio yale ambayo huwa sijibu kwa vile huwa nakosa majibu ya kijinga kuyajibu.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

    Kwa hasira nenda kajenge mwenyewe, hii nchi yetu sote Ila Ubungo panavutia kupita kwa kweli
  7. M

    JamiiForums Tanzania TANZIA Ruge Mutahaba afariki Dunia! Azikwa kishujaa kwao Kabale, Bukoba

    Familia tena msemaji wa familia ndiye mtu pekee mwenye haki ya kutangaza tukio la kifamilia. Kwa sababu ya haki hiyo pia ndiye mtu pekee anayeweza kuamua nani atoe taarifa kwa umma. Kwa ajili ya upungufu wa ubongo wako unaanza kuhoji juu ya mtu alotangaza kifo wewe ni nani kwenye familia ya Ruge.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Kutoka Washington, USA: President Magufuli, Stop That Dam

    Mwisho wa magenerator yao kutuuzia umeme unakaribia, wajinga hadi leo wanatulinganisha sisi na tembo kama hao tembo wana maana sana kuliko maendeleo yetu waje wawachukue. We are not going to kill animals, they have their own intelligent if they notice that the environment aint suitable for them...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Magufuli ni Rais muoga haijawahi tokea katika nchi hii

    Akili kama za kuku, mnasahau juzi tu. mlikuwa mnamtuhumu kuwa Kikwete dhaifu na kuwa ilipofikia inahitaji kiongozi dictotor kwa sababu mambo yalikuwa hayaendi. Ame dictate kidogo tu mkaanza kumzomea kuwa ni dictotor uchwara, hata hajaongeza mbinyo hata kidogo mmeanza kulia lia. Hiyo mnaiita...
  10. M

    JamiiForums Tanzania Kwa siasa hizi stligers Goerge itakufa kabla haijaanza, hatuna uhakika wa maji tuache sifa

    Anyway, siwashangai sana ndio maana mko busy Ulaya mnasimulia kuwa nchi yetu chafu na kesho mnataka dola, wajinga tu ndio wanaweza kukupigieni kura kwa sababu wanaweza kuamini ujinga wenu
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kwa siasa hizi stligers Goerge itakufa kabla haijaanza, hatuna uhakika wa maji tuache sifa

    Sasa nawe unajiona una akili, tatizo lenu ni kusikiliza kila kitu na kupokea kama kilivyo halafu unarelax. Unataka uwe kama Ulaya halafu hautaki kufikiri how did they get there. It's unfortunate kuwa wajinga mko wengi kweli wengine mmechagua kuwa wapumbavu kabisa.
  12. M

    JamiiForums Tanzania NECTA, haya matokeo ya hii shule yanatia wasiwasi

    Uongo wa kitoto huu, eti wana maslahi mazuri acheni unafiki
  13. M

    JamiiForums Tanzania Dr. Mpango na TRA, huu ni Uhujumu Uchumi!

    Usiongee vitu ambavyo haujui, ni wajibu wa makampuni kukadiria hesabu zao mwanzoni kabisa mwa mihula ya kibiashara ilogawanywa mara nne ndani ya miezi 12, ni wajibu wako pia mfanyabishara kuijulisha mamlaka ya mapato kila unapopitia ya kipato na mtiririko wa biashara yako kwa ujumla. Unapaswa...
  14. M

    JamiiForums Tanzania GE2020 Naheshimu mchango wa Tundu Lissu ila ni hatari sana watu kama yeye kuwa Rais

    Hauwezi kuelewa wala kuona tofauti kwa sababu hata wewe hauchukui muda wako kutafakari kauli za hawa wote. Inawezekana kabisa kwa vile kichwa chako kimeaminishwa unachoamini kwa sasa hata kusikiliza huwa hausikilizi kwa sababu umeambiwa kuwa hawana jipya. Sijui tutumie mbwinu ipi kufuta huu...
Back
Top Bottom