Recent content by maseyu

  1. M

    Katibu Mkuu (Mifugo) okoa maisha ya wana UDOM

    Wadau poleni na majukumu na pongezi kwa ufanisi. Kuna jambo ambalo sidhani kama mamlaka zinazousika zipo makini na afya za wananchi wa hali ya chini! Katika eneo la kata ya Ng'ong'ona ambayo ipo katika jiji la Dodoma karibu kabisa na Chuo Kikuu cha Dodoma kuna machinjio ambayo kama mamlaka...
  2. M

    Uwezo wa kuongea na wafu: Elimu Iliyoshindikana duniani

    100% sure,upo sahii kaka Sent using Jamii Forums mobile app
  3. M

    Wanawake wengi huomba kufanyiwa upasuaji badala ya kujifungua kawaida

    Ni kweli binafsi wanakuja wengi wakiwa na shida mbalimbali za kiafya,ukimuuliza kwa nini una tumbo kubwa utasikia "Nilijifungua kwa upasuaji dr". Ukiuliza ulipatwa na shida gani mpaka ukajifungua kwa upasuaji wengi useme ni kuzuia uke usitanuke ili waume zao wasijetoka nje ya ndoa.Kimsingi dada...
  4. M

    Orodha ya mabasi mabovu nchini ambayo hushauriwi kuyapanda

    Hilo bus sitaki hata kulisikia
  5. M

    Lipi ni wazo bora zaidi la kibiashara jijini Dodoma

    Tafuta eneo hapa Dodoma na uanze kufuga kuku wa kienyeji, hautojuta ndugu yangu
  6. M

    Geor Davie ni nani?

    Point Sent using Jamii Forums mobile app
  7. M

    Uchambuzi na maoni yangu juu ya kilichosababisha ajali ya Ethiopia Airline, si lazima kuwa na black box kuujua ukweli mchungu huu

    Mkuu kwa heshima naomba unisaidie jambo hili,Mara zote ukiingia kwenye ndege uwa kuna utaratibu wa wahudumu kutoa maelekezo muhimu ikiwemo jinsi ya kutumia milango ya dharura nk.Swali langu ni wakati gani milango hii ya dharura inaweza kutumika?.Kwenye hii ajari ya Ethiopia nina uhakika rubani...
  8. M

    Serikali, kusafirisha maiti ya mtumishi isiwe kama lazima

    Juzi rafiki yangu kafiwa na mke wake, mke alikuwa mwalimu hapa dodoma mjini, nilichojifunza nikuwa thamani ya mtu ipo ikawa hai. Ofisi ya marehemu hawakufanya lolote kilichosaidia rafiki yangu alikuwa kwenye chama cha kusaidiana ndio kilimsafirishia mpendwa wake Sent using Jamii Forums mobile app
  9. M

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Bado ulikuwa na njia nzuri tu yakufikisha ujumbe wako kwangu.Naamini umenielewa
  10. M

    Utapeli, conspiracy & secret societies: Uhalisia wa umiliki wa kesho ya Ulimwengu

    Mkuu heshima nyingi sana kwako,napenda sana umakini wako katka uchambuzi wa haya mambo na ni miongoni mwa watu wachache sana wanaonivutia katka jukwaa hili. Tafadhari nitag kwa muendelezo wa hii story please
  11. M

    Safari ya kutafuta mke wa kuoa

    Kaka kukata tamaa ni dhambi so pls usikate tamaa tuendelee kuomba Mungu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. M

    MREJESHO WA MCHUMBA: Nimefanikiwa nimepata Binti mzuri sana. Asanteni wadau Kwa Maombi yenu

    Hongera brother, mimi bado natafuta hope Mungu atanipa alie ubavu wangu Sent using Jamii Forums mobile app
  13. M

    Mrejesho bado hitaji langu la kutafuta mke halijatimia

    Ndugu zangu nawasalimu kwa upendo mkubwa na ni imani yangu kuwa mmekuwa na siku njema kabsa,juzi nilikuja katika jukwaa hili nikaeleza hitaji langu la kupata mke wa kuoa na niwashukuru wale ambao mlini-pm na tukaweza kuongea. Kama nilivyosema juzi mimi ni baba wa watoto wawili ambao nawapenda...
  14. M

    Natafuta mke wa kuoa

    Habari zenu wanajamvi,bilashaka mmekuwa na jpili iliyonjema kabsa.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35,ni daktari wa binadamu na naishi dar na nimebahatika kupata watoto wawili ambao nawapenda sana ,ila kwa bahati mbaya mzazi mwenzangu na mimi tunatofautiana imani hivyo yeye na family yake...
  15. M

    Nisadieni wakuu; Tumetofautiana imani na wazazi hawataki hata mmoja wetu abadili dini

    Nilikutana na binti miaka 6 iliyopta na nikampenda na kuanzisha uhusiano wa mapenzi,by then nilikuwa naptia katka wakati mgumu sana katka mambo fulani na ambayo kidogo yachukue maisha yangu,ukweli nikuwa sikupendi kufa bila kuacha mtoto ata mmoja! Uku na uku yule bnti akabeba mimba yangu na...
Back
Top Bottom