Habari zenu wanajamvi,bilashaka mmekuwa na jpili iliyonjema kabsa.Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 35,ni daktari wa binadamu na naishi dar na nimebahatika kupata watoto wawili ambao nawapenda sana ,ila kwa bahati mbaya mzazi mwenzangu na mimi tunatofautiana imani hivyo yeye na family yake...