hapa umedhihirisha ujahili wako km sio ukafiri
ina maana hata nguzo ya 5 katika uislam unaiita utalii sijawahi kuona mtu mwenye itikadi hii anayejinasibisha na uislam
Ilianza azam fc kumchukua zaka zakazi kutoka azam media ikafata simba kwa ahmed ally sasa unavyosema haijawah kutokea ina naana hua hufatilii habar za timu nyingne au n kujifyatua tu
hii ishu imekuja baada ya yeye kuulizwa na juma ayo (mtangazaji) kwenye intrrview ya valor tv hakukurupuka tu na kutoa hizo shutuma
ukifatilia idadi ya watu waliowahi kusigana na Manara utagundua huyo jamaa ana shida kubwa sana
niliona ile marking scheme ya pepa ilovuja ya tra majib n short and clear hakuna easay hapo
kuna mwanangu pia alifika oral alikua anajib maelezo mengi wakamwmbia just menthion tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.