Nasumbuliwa na Dogo langu nashindwa kuelewa, je majina wanayotoa Utumishi kwa ajili ya kuwapangia vituo vya kazi yanahusiana na interview iliyofanyika mwezi wa pili mwaka huu?
Au ndiyo wanaokoteza tu? Mfano Kuna nafasi Account Officer na Internal Auditor. Hawa watu wanaowapangia vituo ndiyo wanawatoa huko? Kwa watu waliyofanya interview February?
Mwenye uelewa plz
Au ndiyo wanaokoteza tu? Mfano Kuna nafasi Account Officer na Internal Auditor. Hawa watu wanaowapangia vituo ndiyo wanawatoa huko? Kwa watu waliyofanya interview February?
Mwenye uelewa plz